Mtoto wa Mkulima
JF-Expert Member
- Apr 12, 2007
- 683
- 122
JK kutohutubia Taifa
Habari Zinazoshabihiana
Njohole atakiwa Uswisi Jumatatu 31.08.2006 [Soma]
Matumaini ya wafanyakazi leo ni kwa Kikwete, Karume 01.05.2007 [Soma]
Mwananchi alia na Wabunge kukanyaga 'Bendera ya Taifa' 07.07.2006 [Soma]
RAIS Jakaya Kikwete hatalihutubia Taifa mwisho wa mwezi huu kama utaratibu ulivyo, kwa vile anatarajia kutoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaotarajiwa kuanza Jumamosi hii katika ukumbi wa Kizota, Dodoma.
Taarifa iliyotolewa jana na Ikulu, Dar es Salaam, ilisema katika hotuba hiyo ya ufunguzi, Rais anatarajiwa kutumia fursa hiyo kuzungumza na wananchi wote kwa ujumla na kuelezea na kutoa ufafanuzi wa masuala muhimu ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Wakati huo huo, Katibu Mkuu wa CCM, Bw. Yusufu Makamba, anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma leo, huku habari zikisema atatumia mkutano huo kujibu mapigo ya wapinzani.
http://www.majira.co.tz/kurasa.php?soma=tanzania&habariNamba=4386
Habari Zinazoshabihiana
Njohole atakiwa Uswisi Jumatatu 31.08.2006 [Soma]
Matumaini ya wafanyakazi leo ni kwa Kikwete, Karume 01.05.2007 [Soma]
Mwananchi alia na Wabunge kukanyaga 'Bendera ya Taifa' 07.07.2006 [Soma]
RAIS Jakaya Kikwete hatalihutubia Taifa mwisho wa mwezi huu kama utaratibu ulivyo, kwa vile anatarajia kutoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaotarajiwa kuanza Jumamosi hii katika ukumbi wa Kizota, Dodoma.
Taarifa iliyotolewa jana na Ikulu, Dar es Salaam, ilisema katika hotuba hiyo ya ufunguzi, Rais anatarajiwa kutumia fursa hiyo kuzungumza na wananchi wote kwa ujumla na kuelezea na kutoa ufafanuzi wa masuala muhimu ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Wakati huo huo, Katibu Mkuu wa CCM, Bw. Yusufu Makamba, anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma leo, huku habari zikisema atatumia mkutano huo kujibu mapigo ya wapinzani.
http://www.majira.co.tz/kurasa.php?soma=tanzania&habariNamba=4386