mawazoyangu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 324
- 65
Mimi nashangazwa na ukimya wa JK kwa watendaji anaowateua. Tukio la juzi tu CAG wetu au Ludovick Utouh alitoa ripoti ya uongo ambalayo ilisomwa na kufanya Jairo arudishwe kazini. kwa ukimya wake mimi mambo mawili yananijia kichwani.
1. CAG alitoa taarifa ya ukweli kabisa na kuikabidhi kwa JK lakini ikasomwa tofauti na ile aliyoitoa (waliichakachua).
2. Uchunguzi alioufanya haukubani makosa na hvyo iliyosomwa kwa umma ilikuwa sahihi.
Kwa la kwanza hapo juu, kama ripoti iliyosomwa ilikuwa sio aliyoiwasilisha kwa rais kwa nini alikaa kimya??? Katiba yetu inamlinda CAG na kama angefanya hivyo angekuwa amejiongezea sifa ya uadilifu kwa kazi yake aliyonayo.
Kama iripoti iliyosomwa ndio aliyoiandaa baada ya kuchunguza kwa nini hadi sasa JK amekaa kimya kwa uzembe wa CAG kushindwa kufanya kazi ambayo wabunge tu ambao sio proffefional yao wameweza kuchunguza na kukuta madudu kama yalivyosomwa bungeni tarehe 19/11/2011. JK na watanzania tutaamini kazi zake za udhibiti na ukaguzi wa hesabu za serikali ni za ukweli na hati safi anazotoa kwa halmashauri zetu ni za ukweli kama ameshindiwa kufanya kazi ndogo ya jairo?
Kwa mapungufu hayo naona hafai kuwa CAG labda tu ripoti yake iwe ilichakachuliwa maana haya mambo ya kukabidhi ripoti kwa rais kamwe huwa sikubaliani nayo kwani zote zimekuwa na uchakachuaji. tuliona richmondi hadi leo Hosea anafanya kazi japo ana resources za kutosha akashindwa kubaini uozo wa richmond lakini Mwakyembe na timu yake wakaweza.
Je alitumia fedha za walipa kodi kufanya kazi ya madudu ambayo inapotosha ukweli?
Je muda haujafika kutungwa sheria ya kuwabana watumiaji wa fedha za serikali hovyo kama alivyofanya CAG kama ripoti yake haikuweza kubaini walichobaini wabunge?
Wana JF hebu mawazo yenu mnaonaje hili la watendaji kutoa ripoti tofauti na za tume ambazo tume zenyewe haizina wataalam kama hawa watendaji lakini ripoti zao zinakuwa za ukweli. Tuwe na imani na nani? Anayekabidhi ripoti au anayekabidhiwa ripoti
1. CAG alitoa taarifa ya ukweli kabisa na kuikabidhi kwa JK lakini ikasomwa tofauti na ile aliyoitoa (waliichakachua).
2. Uchunguzi alioufanya haukubani makosa na hvyo iliyosomwa kwa umma ilikuwa sahihi.
Kwa la kwanza hapo juu, kama ripoti iliyosomwa ilikuwa sio aliyoiwasilisha kwa rais kwa nini alikaa kimya??? Katiba yetu inamlinda CAG na kama angefanya hivyo angekuwa amejiongezea sifa ya uadilifu kwa kazi yake aliyonayo.
Kama iripoti iliyosomwa ndio aliyoiandaa baada ya kuchunguza kwa nini hadi sasa JK amekaa kimya kwa uzembe wa CAG kushindwa kufanya kazi ambayo wabunge tu ambao sio proffefional yao wameweza kuchunguza na kukuta madudu kama yalivyosomwa bungeni tarehe 19/11/2011. JK na watanzania tutaamini kazi zake za udhibiti na ukaguzi wa hesabu za serikali ni za ukweli na hati safi anazotoa kwa halmashauri zetu ni za ukweli kama ameshindiwa kufanya kazi ndogo ya jairo?
Kwa mapungufu hayo naona hafai kuwa CAG labda tu ripoti yake iwe ilichakachuliwa maana haya mambo ya kukabidhi ripoti kwa rais kamwe huwa sikubaliani nayo kwani zote zimekuwa na uchakachuaji. tuliona richmondi hadi leo Hosea anafanya kazi japo ana resources za kutosha akashindwa kubaini uozo wa richmond lakini Mwakyembe na timu yake wakaweza.
Je alitumia fedha za walipa kodi kufanya kazi ya madudu ambayo inapotosha ukweli?
Je muda haujafika kutungwa sheria ya kuwabana watumiaji wa fedha za serikali hovyo kama alivyofanya CAG kama ripoti yake haikuweza kubaini walichobaini wabunge?
Wana JF hebu mawazo yenu mnaonaje hili la watendaji kutoa ripoti tofauti na za tume ambazo tume zenyewe haizina wataalam kama hawa watendaji lakini ripoti zao zinakuwa za ukweli. Tuwe na imani na nani? Anayekabidhi ripoti au anayekabidhiwa ripoti