Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,180
Wanabodi,
Matokeo ya Urais kwa Majimbo Tanzania, yanakamilika usiku huu ambapo mshindi JK atatangazwa rasmi kesho saa 10 jioni pale kwenye viwanja vya Karimjee na kuapishwa Rasmi Jumamosi Saa 4:00 asubuhi kwenye Uwanja wa Taifa.
Tegemea kuwaona kina Dovutwa, Mziray, Mtamegwa, Rungwe na Lipumba, wakiwa kwenye colourful dress tayari kumpongeza JK kwa genuine smilling faces.
Dr. Slaa anatakiwa sana awepo. Mlio karibu nae, mshaurini asisusie, kweli asisaini kuyakubali matokeo, lakini awepo mahali hapo kuwasilisha live protest yake kwa wahusika for the sake of umoja wa kitaifa.
Matokeo ya Urais kwa Majimbo Tanzania, yanakamilika usiku huu ambapo mshindi JK atatangazwa rasmi kesho saa 10 jioni pale kwenye viwanja vya Karimjee na kuapishwa Rasmi Jumamosi Saa 4:00 asubuhi kwenye Uwanja wa Taifa.
Tegemea kuwaona kina Dovutwa, Mziray, Mtamegwa, Rungwe na Lipumba, wakiwa kwenye colourful dress tayari kumpongeza JK kwa genuine smilling faces.
Dr. Slaa anatakiwa sana awepo. Mlio karibu nae, mshaurini asisusie, kweli asisaini kuyakubali matokeo, lakini awepo mahali hapo kuwasilisha live protest yake kwa wahusika for the sake of umoja wa kitaifa.