ndiyo future ya makamba ni ndogo sana .. katika kiti alicho kikalia .... hizi ni habari za kuaminika jumba kuuuna maana Makamba anatolewa nafasi aliyopo au ?
Hapo afadhali maana apunguze waswahili wamezidi kazi kuchonga kila kukicha hata waziri wa habari hafai nae aondoke
Mwenyekiti wa taifa CCM anajipanga na kupangua safu nzima ya chama cha mapinduzi namba moja akiwa katibu mkuu wa CCM Yusufu Makamba na orodha ya wengine itafuata baadaye tusubiri nita waletea habari zaidi....
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us