maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,142
- 15,130
Rais JK anatarajiwa kuongea kwenye mazishi ya Mandela yatakayofanyika kijiji cha Qunu Afrika Kusini. Ataongea akiziwakilisha nchi zilizo kuwa mstari wa mbele katika ukombozi wa kupigania Uhuru na hasa ubaguzi wa rangi wa Afrika kusini.
Source; The Citizen
Source; The Citizen