dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Source BBC na Ahmed Rajab
Tanzania kumbe ni miongoni mwa nchi ambazo ni vipenzi wa marekani kwa kuwa ametoa ardhi kubwa kwa marekani na kuitwa kwake kwake ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chuoa kwa sifa ya kukua kwa uchumi na kilimo kumbe ni kulainishwa zaidi ili atoe zaidi ardhi kwa wageni kwa kisingizio cha uwekezaji.
My concern
Safari za JK jamani kumbe tunauzwa hivi hivi mikataba ya sasa haina tofauti na ya Karl Peters na Chief Mangungo (Jk) kwa sasa tuamke.
Tanzania kumbe ni miongoni mwa nchi ambazo ni vipenzi wa marekani kwa kuwa ametoa ardhi kubwa kwa marekani na kuitwa kwake kwake ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chuoa kwa sifa ya kukua kwa uchumi na kilimo kumbe ni kulainishwa zaidi ili atoe zaidi ardhi kwa wageni kwa kisingizio cha uwekezaji.
My concern
Safari za JK jamani kumbe tunauzwa hivi hivi mikataba ya sasa haina tofauti na ya Karl Peters na Chief Mangungo (Jk) kwa sasa tuamke.