Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Habari nilizo zipata to mjini Arusha ni kuwa Rais JK ataudhulia ufunguzi wa Snowcrest hotel(The Peak of Perfection) na Kibo Palace Hotel(Five Star) hapo mjini Arusha mnamo tarehe 18 na 19 December 2009,
Maswali yangu ni kuwa sasa kamekuwa ni system kusikia Rais wa nchi kuudhulia funguzi nyingi za hotel, Last time nilisikia Rais kamtuma mwakirishi katika ufunguzi wa Seliani Hospital iliofunguliwa Arusha Mjini yeye hakuja, Siku nyingine akaja mwenyewe katika ufunguzi wa bank ndogo ni branch ya FBME opposite na East African Hotel, this time ana kuja kwa ufunguzi wa hizo hotel mbili.
IKULU inatuambia hakuna mtu mwingine(mwakirishi) wa ufunguzi wa hizo hotel??
Rais Hana kazi za msingi sana ni mpaka aje kwa ufunguzi wa hotel?
Je kuna Interest zipi katika hizo hotel kutoka IKULU?
Snockrest Hotel kwanza last time nilipita Arusha nikakuta imesogelea eneo la barabara ya Arusha - Moshi which means eneo lote la parking pale mbele ya Hotel latakiwa kubomolewa.
Watu wanaopanga safari za Rais wanajua hayaaaa?
Ufunguzi wa Seliani Hospital kwanini Rais hakujaa??
Habari nilizo zipata to mjini Arusha ni kuwa Rais JK ataudhulia ufunguzi wa Snowcrest hotel(The Peak of Perfection) na Kibo Palace Hotel(Five Star) hapo mjini Arusha mnamo tarehe 18 na 19 December 2009,
Maswali yangu ni kuwa sasa kamekuwa ni system kusikia Rais wa nchi kuudhulia funguzi nyingi za hotel, Last time nilisikia Rais kamtuma mwakirishi katika ufunguzi wa Seliani Hospital iliofunguliwa Arusha Mjini yeye hakuja, Siku nyingine akaja mwenyewe katika ufunguzi wa bank ndogo ni branch ya FBME opposite na East African Hotel, this time ana kuja kwa ufunguzi wa hizo hotel mbili.
IKULU inatuambia hakuna mtu mwingine(mwakirishi) wa ufunguzi wa hizo hotel??
Rais Hana kazi za msingi sana ni mpaka aje kwa ufunguzi wa hotel?
Je kuna Interest zipi katika hizo hotel kutoka IKULU?
Snockrest Hotel kwanza last time nilipita Arusha nikakuta imesogelea eneo la barabara ya Arusha - Moshi which means eneo lote la parking pale mbele ya Hotel latakiwa kubomolewa.
Watu wanaopanga safari za Rais wanajua hayaaaa?
Ufunguzi wa Seliani Hospital kwanini Rais hakujaa??