JK kufanya mabadiliko

Naona ajabu leo mtu kusema Jakaya anawachukia mafisadi!! Ingekuwa hivyo utawala wake usingeyumba namna hii; yeye ndio anawalinda mafisadi na kuwaondoa kazini wachapakazxi wasiokuwa wanamtandao; mfano mzuri ni yule mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa aliyeondolewa wakati alikuwa ametufanyia kazi nzuri sana mkoani kwetu.
 
Kwa kweli Watanzania tunataka kuzugwa. Kifupi hii habari nzima imejaa usanii wa hali ya juu kutaka kuwazuga Watanzania. Mabadiliko yanayotaka kufanywa ni remote control ya mtu aliye nje ya utawala anayetaka kujaribu kuonyesha kwamba bado ana nguvu katika utawala wa sasa na hilo ni hatari sana kwa wananchi wa Tanzania.

HALISI TUSAIDIE KWA KUWA MUWAZI JUU YA HIKI ULICHOANDIKA HAPA. TUSINGEPENDA KABISA MAJIRA HAYA KUINGIZWA KTK MAKUNDI HATA HUMU NDANI, KAMA KUNA MTU ANA MCONTROL MUUNGWANA KWA TOCHI BASI TUWE WAZI HAPA JF, NACHELEA KUSEMA HUKAWII KUTUAMBIA NI NGOYAI LOWASA MAANA NDIYE DEKIYO LA WENGI WETU HUMU, SEMA USIOGOPE" HALIS SEMA ..... SEMA USIOGOPE SEMAAAAx 2
 
Wakuu wa Wilaya ni watu wadogo sana katika hierarchy ya utawala. Akitaka mabadiliko, afukuze vigogo wenyewe, asisubiri wamwombe kujiuzuru kwa kuzidiwa kashfa.
 
Back
Top Bottom