Naona ajabu leo mtu kusema Jakaya anawachukia mafisadi!! Ingekuwa hivyo utawala wake usingeyumba namna hii; yeye ndio anawalinda mafisadi na kuwaondoa kazini wachapakazxi wasiokuwa wanamtandao; mfano mzuri ni yule mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa aliyeondolewa wakati alikuwa ametufanyia kazi nzuri sana mkoani kwetu.