Tarishi
Senior Member
- May 9, 2008
- 103
- 133
Kuna khabari kwamba JK anatarajiwa kufanya mabadiliko madogo kwenye baraza lake la mawaziri, na wanaotajwa tajwa sana huko kwenye mitaa ni waziri kijana ambaye inaonekana kashindwa kazi hasa baada ya kuvurunda kwenye mstakabali mzima wa vitambulisho vya uraia, na pia waziri wa utalii ambaye inasemekana haeleweki wala haelewi, maji yamemzidi. Wazee wa baraza hili naomba data