Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Tumeshuhudia raisi Karume akiagwa last week na gwaride la nguvu.
Ivi katiba inasemaje kuhusu JK manake to me is common sense aagwe kabisa manake Slaa akichukua nchi hatutakuwa na mda wa kumuaga.
Na kama katiba haina iyo provision kuna haja ya kuiweka maana mambo ya mtu anakuwa Mgombea alafu raisi wan chi ni kero.As a result watu wengi wanafanya kazi kwa woga kama akina TIDO ili kulinda kibarua.
So kuepuka iyo aibu ni kheri angeagwa au ndo atachapa mwendo kimya kimya
Ni ushauri tuu jamani msipandwe na jazba buree
Ivi katiba inasemaje kuhusu JK manake to me is common sense aagwe kabisa manake Slaa akichukua nchi hatutakuwa na mda wa kumuaga.
Na kama katiba haina iyo provision kuna haja ya kuiweka maana mambo ya mtu anakuwa Mgombea alafu raisi wan chi ni kero.As a result watu wengi wanafanya kazi kwa woga kama akina TIDO ili kulinda kibarua.
So kuepuka iyo aibu ni kheri angeagwa au ndo atachapa mwendo kimya kimya
Ni ushauri tuu jamani msipandwe na jazba buree