Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,883
Ndivyo hali ya uongozi wa nchi unapambana na mazitomazito hali unarefuka zaidi kuliko kunenepa
Anawaza sana yalompata mwenzie tunisia:eyeroll1:Mbona kakonda sana Kikwete? kwani hamoni mifereji imeshaanza mashavuni