Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,440
- 113,449
Wanabodi,
Nimetokeo kuwepo maeneo ya Kirua Vunjo, Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro, katika pita pita zangu Moshi mjini, nikalisikia gari la Matangazo likitangaza mwaliko kwa wananchi wote kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa Jengo jipya la Ofisi ya Ukaguzi ya Taifa, (NAO) unaofanywa na Rais wa JMT, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.
Kwa vile na mimi ni mwananchi, nimejisoge eneo la tukio, na nitawaletea live uzinduzi huo.
Kiukweli mkiliona jengo lenyewe lilivyo, wale mnaodai serikali ya CCM haijafanya chochote, mnakuwa hamuitei haki serikali hii ya JK imefanya mengi na inaendelea kufanya mengi, mpaka kufikia 2015, kama tutaamua kuipumzisha CCM na ipunzishwe kwa sababu tuu imechokwa, na sio ipumzioshwe kwa sababu haijafanya kitu!.
Mpaka sasa wananchi waliojitokeza ni wengi, wakiwemo wabunge Azan, Vulu na Lyatonga Mrema.
Mgeni rasmi JK ndie anaesubiriwa.
Fuatana nami nikuzue kinachoendelea.
Pasco.
NB. Pasco wa jf sio mwanachama, mshabiki wala mfuasi wa chama chochote, bali ni mkereketwa wa demokrasia ya kweli na muumini wa falsafa ya ukweli daima "nothing but the truth".
Nimetokeo kuwepo maeneo ya Kirua Vunjo, Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro, katika pita pita zangu Moshi mjini, nikalisikia gari la Matangazo likitangaza mwaliko kwa wananchi wote kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa Jengo jipya la Ofisi ya Ukaguzi ya Taifa, (NAO) unaofanywa na Rais wa JMT, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.
Kwa vile na mimi ni mwananchi, nimejisoge eneo la tukio, na nitawaletea live uzinduzi huo.
Kiukweli mkiliona jengo lenyewe lilivyo, wale mnaodai serikali ya CCM haijafanya chochote, mnakuwa hamuitei haki serikali hii ya JK imefanya mengi na inaendelea kufanya mengi, mpaka kufikia 2015, kama tutaamua kuipumzisha CCM na ipunzishwe kwa sababu tuu imechokwa, na sio ipumzioshwe kwa sababu haijafanya kitu!.
Mpaka sasa wananchi waliojitokeza ni wengi, wakiwemo wabunge Azan, Vulu na Lyatonga Mrema.
Mgeni rasmi JK ndie anaesubiriwa.
Fuatana nami nikuzue kinachoendelea.
Pasco.
NB. Pasco wa jf sio mwanachama, mshabiki wala mfuasi wa chama chochote, bali ni mkereketwa wa demokrasia ya kweli na muumini wa falsafa ya ukweli daima "nothing but the truth".