Jk,katika hili waombe watanzania radhi

Mwan mpambanaji

JF-Expert Member
Apr 3, 2008
482
131
Katika tukio la Arusha,tulishuhudia jinsi JK anavyowadharau wananchi,aliwaita mabalozi wa nchi za nje na kuwaelezea tukio zima la arusha,pia kusema haltatokea tena.
Hoja yangu hapa ni Jk anawajibika kwa mabalozi au kwa watanzania?Au ndo kama alivyopata kusema Frantz Fanon kuwa viongozi wa africa wapo madarakani si kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wao,bali ili wafanane na wazungu,waweze enda ulaya etc.Ni wazi kuwa wengi hatuna imani na Jk ila laiti angewataka radhi watz katika mauaji ya kikatili ya arusha angalau tungemsamehe,,,kwa kuendelea kukaa kwako kimya Jk unajiandalia anguko kuu,,,,,
nawasilisha
the strugle continues
 
Hivi kwanza yupo inawezekana keshakimbia sisi tunaongea huku tu. Nina wasi wasi aliyemuona anitonye nina wasi wasi atakuwa na mwenzake wa tunisia wanasikilizia maumivu
 
Hamaanishi ndio maana hawezi kusimama mbele ya watu wenye uchungu akawatamkia hayo!
 
Kitendo cha KIKWETE kuwaita mabalozi na kuwaomba radhi ni kwamba Amefanya hivyo ili kuwafanya wafadhili wasimbanie fedha za misaada.angacha kufanya hivyo nchi yake isingekopesheka ukizingatia yeye mwenyewe hafikirii chochote zaidi ya misaada kutoka kwa nchi wafadhili na kuwaomba radhi ni ili aonekane nchi yake haina tatizo. pili anajua watanzania hawana shida upeo wake ulivyo anaamini watanzania atawatuma kina makamba na chatanda watatulia. kikwete anaupeo mdogo sana
 
Katu hatutamsamehe kwa dhambi na madharau haya,,watz hatudanganyiki tena,,tujitokeze tulianzishe for the sake of our beloved parents,sons,doughters,friends and enemies.....
 
Back
Top Bottom