Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,968
Nimeiprnda hii. Rais anatatizo la kutokujiridhisha kabla ya kusaini vitu au kuhutubia. Aliwahi kusaini mswada uliochomekwa vifungu ambavyo havikustahili kuwemo. Aliwahi pia kusema gazeti (MWANAHALISI) limefungiwa kwasababu ya kuchochea vyombo vya dola kuasi wakati silo lililokuwa limeandika habari hizo. Tatizo ni kukosekana kwa ungwana ambapo baada ya kukosea hajui kuomba radhi. Kama hali ndio hivi kwa rais wa nchi tuna haja gani ya kumshangaa Mulugo anayesema Tanzania ni zao la muungano wa visiwa vya Zimbzbwe na Tanganyika mwaka 11964??!!