JK Kanyaga twende, ukombozi wa watanzania u mikononi mwako!

Hii ndio kasi zaidi, nguvu zaidi na ari zaidi, inabidi tufunge mikanda CCM wametumia bilions kwa uchaguzi.
 
gesi (15kg) from 45,000 to 70,000
sadolin ya mkaa iliyokuwa inauzwa 1500 sasa ni 3000

kwa sisi wajenzi nondo zile za 12,000 sasa ni 17,000! Kwa kifupi vifaa vya ujenzi vimepanda sana! Kama hujajenga kihalali....

Mechi inaendelea natamani hali hii iendelee ifikie watu kushindia maji tu! Shida zikiongezeka haya yatatokea:

1. Akili ya kuchagua viongozi bora itakuja tu!

2. Watu watakuwa sensitive na hali ya nchi na sio kukurupuka tu

3. Mijadala ya kidini haitakuwepo, maana woote wamakonde, wamalira, wanyakyusa, wachaga, wangindo, wapogo wote wana suffer the same. Waislamu na wahindu, wakristo na wapagani watapata shuruba ile ile! Tutaona kama akili hazitakuja kichwani,

4. Wale wasomi 'graduate' wanaotembelea magari ya mikopo na kupanga sinza, huku wakiwa weredi wa vikao vya harusi na kushinda kuchoma mafuta yaliyopanda bei huku wakiwa hwana mpango na issue za kitaifa wataamka!!

We need same platform ili tuelewane!!, shida tu zitawakomboa watanzania, kelele tumepiga watu bado wanawachagua ccm!!!

Acha maisha magumu yaongezeke jk kanyaga twende!!!!

madhara ya serikali ya kishikaji
 
Gesi (15kg) from 45,000 to 70,000
Sadolin ya mkaa iliyokuwa inauzwa 1500 sasa ni 3000

kwa sisi wajenzi nondo zile za 12,000 sasa ni 17,000! kwa kifupi vifaa vya ujenzi vimepanda sana! kama hujajenga kihalali....

Mechi inaendelea natamani hali hii iendelee ifikie watu kushindia maji tu! shida zikiongezeka haya yatatokea:

1. Akili ya kuchagua viongozi bora itakuja tu!

2. watu watakuwa sensitive na hali ya nchi na sio kukurupuka tu

3. Mijadala ya kidini haitakuwepo, maana woote wamakonde, wamalira, wanyakyusa, wachaga, wangindo, wapogo wote wana suffer the same. waislamu na wahindu, wakristo na wapagani watapata shuruba ile ile! tutaona kama akili hazitakuja kichwani,

4. wale wasomi 'graduate' wanaotembelea magari ya mikopo na kupanga Sinza, huku wakiwa weredi wa vikao vya harusi na kushinda kuchoma mafuta yaliyopanda bei HUKU WAKIWA HWANA MPANGO NA ISSUE ZA KITAIFA wataamka!!

we need same platform ili TUELEWANE!!, shida tu zitawakomboa watanzania, kelele tumepiga watu bado wanawachagua CCM!!!

Acha maisha magumu yaongezeke JK kanyaga twende!!!!

at last tunaweza kuelewana sasa. HONGERA sana kwa mtazamo wako chanya na bila watu kuumizwa na matatizo yanayoikabili nchi,,,, BASI UKOMBOZI WA KWELI HAUWEZI KUPATIKANA. mimi naamini ikiwa tutafika mahali na wote tukaminywa na maisha kwa kiwango cha kuchanganya akili zetu,,,, basi lazima kila mtu atajipanga.
ila duh!!!!!! unaposema eti''WATU WANAENDELEA KUICHAGUA CCM''' una maana gani??
do you want to tell us that CCM walishinda kihalali???? welcome to the real world of truth.......
 
at last tunaweza kuelewana sasa. HONGERA sana kwa mtazamo wako chanya na bila watu kuumizwa na matatizo yanayoikabili nchi,,,, BASI UKOMBOZI WA KWELI HAUWEZI KUPATIKANA. mimi naamini ikiwa tutafika mahali na wote tukaminywa na maisha kwa kiwango cha kuchanganya akili zetu,,,, basi lazima kila mtu atajipanga.
ila duh!!!!!! unaposema eti''WATU WANAENDELEA KUICHAGUA CCM''' una maana gani??
do you want to tell us that CCM walishinda kihalali???? welcome to the real world of truth.......


CCM hawakushinda kihalali kwenye urais, ila kwenye ubunge walishinda ukichukulia kwenye majimbo ya akina Lowasa, Rostam n.k they are strong.

Hata kama hawakushinda kihalali still kuna watu waliipigia CCM kura, let say unaenda chumba cha kuhesabia kura CCM= 0 na UPINZANI =14,000

Nguvu za kuchakachua zitakuwepo?? ikifikia muda CCM hawaoni hata kura za 'kuongezea' basi wanaondoka kwa aibu!!!
 
.......Nimepata taarifa kuwa mafuta ya kupikia sasa ni Tshs 52,000/= kwa ndoo kubwa! Mkate wa supa loaf sasa ni 800 kwa eneo letu!

Afadhali ya wewe mwenzetu UNAYEPATA TAARIFA. Sisi taarifa huwa tunazifuata pale zilipo. Alichoandika Waberoya hapo juu ndicho tunachokutana nacho tunapofanya shopping za nishati na vyakula. Mabadiliko ya hivi karibuni ni haya:-

- Maji Uhai (12L) - 2500/-, kutoka sh 2000 mwezi Novemba 2010
- Mafuta ya kupikia Sundrop (10L) - 29,000/- kutoka sh 24 Oktoba 2010
- Kilo ya mchele (wanadai ni Super Kyela), - 1550/- kutoka 1150 mwezi Novemba mwaka jana.
- Lita ya dizeli - 1760/- kwa rejareja, kutoka 1560 mwezi Agosti 2010.

Bei hizi nimekutana nazo nikiwa katika manunuzi ya kila siku. Sasa ukaingalia muda mabadiliko ya bei za bidhaa hapo juu na muda ambao umepita, unaweza kunusa ni wapi tutakuwa mwaka 2015. Kwa wataalamu wa hisabati nadhni wanaweza kufanya extrapolation na kutujuza tunakoelekea. Ni kiama kabisa.
 
Tumuulize rais bila kumuogopa, katika ahadi mia na kidogo alizotoa ametekeleza ngapi? Hakuna? Je, analipwa kwa kazi gani?

Ziko wapi nyumba zetu zilizonyakuliwa na utawala mbovu wa Benjamin Mkapa?

Tuulize bila kumung’unya maneno wala kuogopa kwani nyumba hizi ni mali yetu. Wako wapi kina EPA, hasa kampuni la Kagoda, Deep Green Finance, Meremeta na majambazi wengine? Serikali inangoja nini iwapo rais alituaminisha kuwa serikali yake si ya ubia na mtu?

Yako wapi maazimio ya kupunguza ukubwa wa serikali? Iko wapi mikakati na matendo ya kupunguza matumizi ya magari ya bei mbaya maarufu kama mashangingi? Ni hivi karibuni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alifanya mizengwe na kutuhadaa kuwa serikali ina nia na mipango ya kupunguza magari ya bei mbaya.
:peace::closed_2:
 
Tumuulize rais bila kumuogopa, katika ahadi mia na kidogo alizotoa ametekeleza ngapi? Hakuna? Je, analipwa kwa kazi gani?

Ziko wapi nyumba zetu zilizonyakuliwa na utawala mbovu wa Benjamin Mkapa?

Tuulize bila kumung'unya maneno wala kuogopa kwani nyumba hizi ni mali yetu. Wako wapi kina EPA, hasa kampuni la Kagoda, Deep Green Finance, Meremeta na majambazi wengine? Serikali inangoja nini iwapo rais alituaminisha kuwa serikali yake si ya ubia na mtu?

Yako wapi maazimio ya kupunguza ukubwa wa serikali? Iko wapi mikakati na matendo ya kupunguza matumizi ya magari ya bei mbaya maarufu kama mashangingi? Ni hivi karibuni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alifanya mizengwe na kutuhadaa kuwa serikali ina nia na mipango ya kupunguza magari ya bei mbaya.
:peace::closed_2:
Shangaa gazeti la The East Afrika linasema JK ni wakumi katika marais wachapakazi Afrika. Sijui wametumia vigezo gani.
 
Kwa kuwa mafisadi ni wachache mno, tuombe sana ugumu wa maisha uendelee siku hadi siku ili watanzania tuweze kuwa na mtazamo mmoja kuhusu maendeleo ya taifa letu na sisi wenyewe kiujumla!
Linapoongelewa suara la maendeleo lisitafasiriwe na kundi jingine kuwa ni la chama fulani, au waumini fulani, kanyaga twende mkuu wa nchi tutie akili watz na anayejitia kutetea mafisadi tuone kama ataweza kuwagawia ndugu zake mgawo wa ufisadi ili waweze kuogelea kwenye kisima kisichokuwa na maji!
 
Dawa ni kubadili mfumo kristu ambapo 80% ndio watendaji wa serikali tokea uhuru wao badala ya kujenga nchi wanajenga dini yao.Inakuwaje MOU pesa zinatoka serikalini zinajenga taasisi za dini moja inafika mahala serikali inayotoa pesa zetu walipa kodi eti tena inashukuru kanisa kwa kutoa huduma ambazo ni wajibu wa serikali.Ufisadi unaanzia hapo.
JK kanayaga twende juzi niliona unafungua kiwanda cha mabilioni cha mbolea pia nimeona unazindua mpango mpya wa messII.Hawa wanaokuombea dua mbaya achana nao ni dua za kuku ila jihadhari nao kwani ndio wengi serikalini na wanakwamisha juhudi zako makusudi.Ndio haohao wanohujumu uchumi wa nchi kwa rushwa na ufisadi uliokubuhu halafu wanapeleka eti sadaka kanisani ili pesa zao zibarikiwe.Mungu sio Athumani anawaona iko siku watalipwa kwa matendo yao.
Kanyaga twende jk

Tutahafahamiana vyema dumu la maji ya chumvi huku uswahili litakapofikia 5,000 kama hali itabagua Muislam na Mkristu..!
 
Dawa ni kubadili mfumo kristu ambapo 80% ndio watendaji wa serikali tokea uhuru wao badala ya kujenga nchi wanajenga dini yao.Inakuwaje MOU pesa zinatoka serikalini zinajenga taasisi za dini moja inafika mahala serikali inayotoa pesa zetu walipa kodi eti tena inashukuru kanisa kwa kutoa huduma ambazo ni wajibu wa serikali.Ufisadi unaanzia hapo.
JK kanayaga twende juzi niliona unafungua kiwanda cha mabilioni cha mbolea pia nimeona unazindua mpango mpya wa messII.Hawa wanaokuombea dua mbaya achana nao ni dua za kuku ila jihadhari nao kwani ndio wengi serikalini na wanakwamisha juhudi zako makusudi.Ndio haohao wanohujumu uchumi wa nchi kwa rushwa na ufisadi uliokubuhu halafu wanapeleka eti sadaka kanisani ili pesa zao zibarikiwe.Mungu sio Athumani anawaona iko siku watalipwa kwa matendo yao.
Kanyaga twende jk
Mkuu hakuwa anafungua kiwanda alikuwa anafungua godown la kuweka mbolea inapoingia toka nje, wabongo watakaoajiriwa hapo sanasana ni walinzi
 
pamoja na hayo yote, mkumbuke kwamba kikwete atakuwa maarufu sana katika vitabu vya historia ya tz

yaani, rais wa mwisho kutawala tz kupitia ccm, na pengine rais aliyetolewa madarakani kwa nguvu ya umma.

stay tuned!
 
Gesi (15kg) from 45,000 to 70,000
Sadolin ya mkaa iliyokuwa inauzwa 1500 sasa ni 3000

kwa sisi wajenzi nondo zile za 12,000 sasa ni 17,000! kwa kifupi vifaa vya ujenzi vimepanda sana! kama hujajenga kihalali....

Mechi inaendelea natamani hali hii iendelee ifikie watu kushindia maji tu! shida zikiongezeka haya yatatokea:

1. Akili ya kuchagua viongozi bora itakuja tu!

2. watu watakuwa sensitive na hali ya nchi na sio kukurupuka tu

3. Mijadala ya kidini haitakuwepo, maana woote wamakonde, wamalira, wanyakyusa, wachaga, wangindo, wapogo wote wana suffer the same. waislamu na wahindu, wakristo na wapagani watapata shuruba ile ile! tutaona kama akili hazitakuja kichwani,

4. wale wasomi 'graduate' wanaotembelea magari ya mikopo na kupanga Sinza, huku wakiwa weredi wa vikao vya harusi na kushinda kuchoma mafuta yaliyopanda bei HUKU WAKIWA HWANA MPANGO NA ISSUE ZA KITAIFA wataamka!!

we need same platform ili TUELEWANE!!, shida tu zitawakomboa watanzania, kelele tumepiga watu bado wanawachagua CCM!!!

Acha maisha magumu yaongezeke JK kanyaga twende!!!!

Ni ukweli unaouma,hapo ndo inapokuja tofauti ya kusoma na kwenda shule..wakati 'graduates' wa nchi mbalimbali ndo chachu ya mabadiliko wa hapa hata kuzungumzia siasa anaona taabu ataonekana mshamba.,, ni wachache mno wanaojishughulisha hata kuangalia/kusikiliza taarifa ya habari...laiti wangesoma na kujua role played na siasa katika maisha yetu labda wangeamka..
 
Waberoya
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email
user-offline.png

JF Premium Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date Sun Aug 2008 Location On Earth Posts 3,576 nimekosaa sehemu ya senkyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
senkyuuuuuuuuuuuuuuuu mkuuuuuu nataka tununue laki ile tank tuwe na akili ya kuzaliwa unajua akuna ukichaa mbaya kama ugonjwa wa krudia rudia..yaani ukienda kwa maprof wa machizi wanasema hawa wagomvi ni level 2,ya kwanza ambayo mbaya ni ukichaa wa kurudia rudia yaani wewe unaambiwa achana na ccm uko pale pale,,wewe kila siku ukienda kanisani ubarikiwi wewe ni kuhudhuria na kuondoka
na bado nahisi oct tutakuwa na wakati mzuri zaiid
 
Dawa ni kubadili mfumo kristu ambapo 80% ndio watendaji wa serikali tokea uhuru wao badala ya kujenga nchi wanajenga dini yao.Inakuwaje MOU pesa zinatoka serikalini zinajenga taasisi za dini moja inafika mahala serikali inayotoa pesa zetu walipa kodi eti tena inashukuru kanisa kwa kutoa huduma ambazo ni wajibu wa serikali.Ufisadi unaanzia hapo.
JK kanayaga twende juzi niliona unafungua kiwanda cha mabilioni cha mbolea pia nimeona unazindua mpango mpya wa messII.Hawa wanaokuombea dua mbaya achana nao ni dua za kuku ila jihadhari nao kwani ndio wengi serikalini na wanakwamisha juhudi zako makusudi.Ndio haohao wanohujumu uchumi wa nchi kwa rushwa na ufisadi uliokubuhu halafu wanapeleka eti sadaka kanisani ili pesa zao zibarikiwe.Mungu sio Athumani anawaona iko siku watalipwa kwa matendo yao.
Kanyaga twende jk

Wakuu vile vijitufe "did you find this post useful" vimeishia wapi? au ni computer yangu coz hii post imeniletea kichefu chefu!
 
Dawa ni kubadili mfumo kristu ambapo 80% ndio watendaji wa serikali tokea uhuru wao badala ya kujenga nchi wanajenga dini yao.Inakuwaje MOU pesa zinatoka serikalini zinajenga taasisi za dini moja inafika mahala serikali inayotoa pesa zetu walipa kodi eti tena inashukuru kanisa kwa kutoa huduma ambazo ni wajibu wa serikali.Ufisadi unaanzia hapo.
JK kanayaga twende juzi niliona unafungua kiwanda cha mabilioni cha mbolea pia nimeona unazindua mpango mpya wa messII.Hawa wanaokuombea dua mbaya achana nao ni dua za kuku ila jihadhari nao kwani ndio wengi serikalini na wanakwamisha juhudi zako makusudi.Ndio haohao wanohujumu uchumi wa nchi kwa rushwa na ufisadi uliokubuhu halafu wanapeleka eti sadaka kanisani ili pesa zao zibarikiwe.Mungu sio Athumani anawaona iko siku watalipwa kwa matendo yao.
Kanyaga twende jk

MOD huyu hana tofauti na Muhongomchungu, Malaria Sugu, na Zomba! Hii post inafanya nini? ngoja niwahabarishe MOD
 
Sikutegemea kama wana jamii wanaweza ombea mabaya nchi yao, ili iweje?. na wasi wasi na ninyi mtakuwa hamuishi TZ so wananchi watapokuwa wakifa njaa ninyi mnakula keki mamtoni, somalia kila leo watu wanakufa njaa ni mapinduzi gani yameshafanyika?.

kampeni zimeshaisha kilichobaki ni kujenga nchi.
 
4. wale wasomi 'graduate' wanaotembelea magari ya mikopo na kupanga Sinza, huku wakiwa weredi wa vikao vya harusi na kushinda kuchoma mafuta yaliyopanda bei HUKU WAKIWA HWANA MPANGO NA ISSUE ZA KITAIFA wataamka!!

mkuu hapo umnena...................
 
Back
Top Bottom