Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Mpaka hapa kweli naona mambo yamegoma kabisa. Kama ni mashine basi ndio kusema imenoki jumla.
Wataalamu wa kuandika hayo mambo ya katiba should know it better. Cha msingi tu mfumo ulinde hiyo misingi niliyoianisha. Hapo nadhani mambo yatakuwa poa.Unasuggest kipengele cha Katiba kitakachoaccomodate haya maoni yako kisomeke vipi, I mean toa mfano.
Na huo ugumu wa maisha uwaendee zaidi wale waliochagua ccm, hawataki mabadiliko ukiwauliza ccm imewafanyia nini? wanajibu ooh baba zetu ni ccm nasi ni ccm! Pumba tupu kichwani mwao.
Ok fine
Sasa dawa ni nini? Uchaguzi? Siasa? i don't think so.
Dawa ni kuanza upya, kwa kuweka mfumo mpya wa kujitawala usiotegemea maono ya vikundi au individuals. Mfumo utakaohakikisha uwajibikaji, uhuru, ubunifu, uwazi et c ..pengine starting point iwe katiba.
Jamani.. uchaguzi una matokeo yake. Binafsi sitaki kabisa kusikia mwana CCM au mtu yeyote aliyeunga mkono JK kurudi madarakani analalamikia iwe mafuta au dawa ya vipodozi. Watu lazima wajifunze kuishi na maamuzi waliyoyachukua.
Na tukipata nafasi hatutaichezea!!!! upinzani wakijipanga vizuri CCM imeishatoka 2015!
Natamani bei ya kupanga chumba kimoja Mwananyamala ifike kama millioni tatu kwa mwezi na viwanja vya nyumba kule Boko na Chanika vifikie billioni 8!!!
Cha ajabu, mpaka tunafikia hapo hakuna atakayekuwa amewajibishwa au kujiwajibisha!
Jamani.. uchaguzi una matokeo yake. Binafsi sitaki kabisa kusikia mwana CCM au mtu yeyote aliyeunga mkono JK kurudi madarakani analalamikia iwe mafuta au dawa ya vipodozi. Watu lazima wajifunze kuishi na maamuzi waliyoyachukua.
Na bado..mpaka amalize muda wake maharage yatakua yamefikia bei ya nyama..soda bei ya bia..mafuta ya taa bei ya gesi n.k!Sasa tuombe tu muda wa kuchagua mwingine ukifika watu wakutosha wawe wameamka kiasa cha kufanikiwa kumpata kiongozi atakaejali maendeleotya nchi na watu wake.Otherwise itafika kipindi kufa itakua bora kuliko kuishi.
Gesi (15kg) from 45,000 to 70,000
Sadolin ya mkaa iliyokuwa inauzwa 1500 sasa ni 3000
kwa sisi wajenzi nondo zile za 12,000 sasa ni 17,000! kwa kifupi vifaa vya ujenzi vimepanda sana! kama hujajenga kihalali....
Mechi inaendelea natamani hali hii iendelee ifikie watu kushindia maji tu! shida zikiongezeka haya yatatokea:
1. Akili ya kuchagua viongozi bora itakuja tu!
2. watu watakuwa sensitive na hali ya nchi na sio kukurupuka tu
3. Mijadala ya kidini haitakuwepo, maana woote wamakonde, wamalira, wanyakyusa, wachaga, wangindo, wapogo wote wana suffer the same. waislamu na wahindu, wakristo na wapagani watapata shuruba ile ile! tutaona kama akili hazitakuja kichwani,
4. wale wasomi 'graduate' wanaotembelea magari ya mikopo na kupanga Sinza, huku wakiwa weredi wa vikao vya harusi na kushinda kuchoma mafuta yaliyopanda bei HUKU WAKIWA HWANA MPANGO NA ISSUE ZA KITAIFA wataamka!!
we need same platform ili TUELEWANE!!, shida tu zitawakomboa watanzania, kelele tumepiga watu bado wanawachagua CCM!!!
Acha maisha magumu yaongezeke JK kanyaga twende!!!!