JK kachangisha milioni hizi, kwa nini tunaomba bajeti ichangiwe nje?

Samahani Jamani Naomba Kuuliza! Kwani Raisi Wa Nchi Analipwaje? Yaani Mshahara Wake? Na Ni Kweli Anaweza Kuchangia Kiasi Hicho Kwa Mshahara Wake? Na Hao Wachangiaji Wengine Wamepata Wapi Hizo Hela? Kweli Mishahara Yao Wanaweza Kutoa Hela Zote Hizoo? Anyways None Of My Business But I Hope Hao Watu Wachangie Na Mambo Mengine Kama Elimu, Afya, Chakula N.k

Lusajo
You have my support na nakubaliana nawe kwa asilimia kubwa .
 
Back
Top Bottom