addis in dar
New Member
- Dec 1, 2007
- 2
- 0
Wanaoandika andikeni mapema jamani JK kaanza vitu vyake kabomoa nyumba kwa kuwanunua majirani kinawekwa kitu.
Si mnakumbuka wakati wa kampeni nyumba ilikuwa haina hata fence. Jaribu kupita kwa walioko Dar.
Ni hatari miaka kumi sijui itakuwaje hiyo miwili tu
Si mnakumbuka wakati wa kampeni nyumba ilikuwa haina hata fence. Jaribu kupita kwa walioko Dar.
Ni hatari miaka kumi sijui itakuwaje hiyo miwili tu