JK, JK, Mheshimiwa, eeeehhh, nisikilize basi aaahh....!!! Hata kunisikiliza hutaki?

Jay One

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
16,835
16,696
JK, JK, pokea ushauri/mapendekezo yangu najua hutaki kusikiliza, fanya haya plse kama
unataka maendeleo ya kweli, sijakupa kura yangu, but muda huu election campaign
is over, ni kushauriana, think it....

1. JK, Futa viti maalum immediately, huu ni mzigo na fedha mabilioni yanapotea
kisha among those 10 MPs unaowateua wape nafasi mfano ya walemavu, wanawake nk.
2. JK, borrow Dr. Slaa's ideas, mfano mchakato wa katiba uanze may be 6 months to come
acha aibu, working on good ideas, mafanikio yataonekana kwako, plse JK
3. JK, umemweka tena Sophia Simba, Mkuchika, Makongoro, Wasira, JK hapa umeanguka
toa hawa, si creative, si watendaji kazi, zero, unaweza badili mawazo now, hawafai
najua hutanisikiliza, anyway
4. JK, tatizo si baraza kubwaaaaaaa au ndogo la wastani, TATIZO UWAJIBIKAJI, i.e responsibility hapa
ndio ujue mtu anaharibu tena kwa kujua wazi, then eti unatoa caution, toa warning
na mtoe, mifano mingi ww unajua pia
5. JK, unakumbuka zile ahadi zako kwetu, nyingiiiiiiii, rejea zingine hazifai,impossible
to implement, chukua ideas za Dr. Slaa, Saruji, bati nondo baba watu wajenge
shusha bei, JK nisikilize maana utaweza haya ukiamua, ila sina imani.
JK, JK pokea huu ushauri utaisaidia Taifa letu lijengeke, kazi njema
 
aaah mkwere mbishi bwana anawabishia hata madaktari wanaoangalia afya yake mpaka anaanguka chini, puuuh
 
Apeleke Meli ziwa Victoria..ile ya toka wakoloni itaua watu muda zi mrefu..
 
JK, JK, pokea ushauri/mapendekezo yangu najua hutaki kusikiliza, fanya haya plse kama
unataka maendeleo ya kweli, sijakupa kura yangu, but muda huu election campaign
is over, ni kushauriana, think it....

1. JK, Futa viti maalum immediately, huu ni mzigo na fedha mabilioni yanapotea
kisha among those 10 MPs unaowateua wape nafasi mfano ya walemavu, wanawake nk.
2. JK, borrow Dr. Slaa's ideas, mfano mchakato wa katiba uanze may be 6 months to come
acha aibu, working on good ideas, mafanikio yataonekana kwako, plse JK
3. JK, umemweka tena Sophia Simba, Mkuchika, Makongoro, Wasira, JK hapa umeanguka
toa hawa, si creative, si watendaji kazi, zero, unaweza badili mawazo now, hawafai
najua hutanisikiliza, anyway
4. JK, tatizo si baraza kubwaaaaaaa au ndogo la wastani, TATIZO UWAJIBIKAJI, i.e responsibility hapa
ndio ujue mtu anaharibu tena kwa kujua wazi, then eti unatoa caution, toa warning
na mtoe, mifano mingi ww unajua pia
5. JK, unakumbuka zile ahadi zako kwetu, nyingiiiiiiii, rejea zingine hazifai,impossible
to implement, chukua ideas za Dr. Slaa, Saruji, bati nondo baba watu wajenge
shusha bei, JK nisikilize maana utaweza haya ukiamua, ila sina imani.
JK, JK pokea huu ushauri utaisaidia Taifa letu lijengeke, kazi njema

Muda ni mali kaka.

Fanya mambo mengine. Achana na huyo mtu.

Hashaurikagi.
 
JK JK japo umechaguliwa na NEC hiyo sio hoja tena ushaingia jengo jeupe la magogoni please fanya kama mshikaji alivyoshauri Mr. President!
 
JK, JK, pokea ushauri/mapendekezo yangu najua hutaki kusikiliza, fanya haya plse kama
unataka maendeleo ya kweli, sijakupa kura yangu, but muda huu election campaign
is over, ni kushauriana, think it....

1. JK, Futa viti maalum immediately, huu ni mzigo na fedha mabilioni yanapotea
kisha among those 10 MPs unaowateua wape nafasi mfano ya walemavu, wanawake nk.
2. JK, borrow Dr. Slaa's ideas, mfano mchakato wa katiba uanze may be 6 months to come
acha aibu, working on good ideas, mafanikio yataonekana kwako, plse JK
3. JK, umemweka tena Sophia Simba, Mkuchika, Makongoro, Wasira, JK hapa umeanguka
toa hawa, si creative, si watendaji kazi, zero, unaweza badili mawazo now, hawafai
najua hutanisikiliza, anyway
4. JK, tatizo si baraza kubwaaaaaaa au ndogo la wastani, TATIZO UWAJIBIKAJI, i.e responsibility hapa
ndio ujue mtu anaharibu tena kwa kujua wazi, then eti unatoa caution, toa warning
na mtoe, mifano mingi ww unajua pia
5. JK, unakumbuka zile ahadi zako kwetu, nyingiiiiiiii, rejea zingine hazifai,impossible
to implement, chukua ideas za Dr. Slaa, Saruji, bati nondo baba watu wajenge
shusha bei, JK nisikilize maana utaweza haya ukiamua, ila sina imani.
JK, JK pokea huu ushauri utaisaidia Taifa letu lijengeke, kazi njema


Kwa JK, kazi unayofaanya kaka ni sawa sawa na kusubili mti wa mwembe uze parachichi.
Nenda kafanye kazi usipoteze mda na JK.
 
JK JK japo umechaguliwa na NEC hiyo sio hoja tena ushaingia jengo jeupe la magogoni please fanya kama mshikaji alivyoshauri Mr. President!

At least angeanziasha mchakato wa new constitution then vitu maalum mwisho 2010, wasirudi bungeni, ila jamaani hasikii
 
Unapoteza Nguvu zako mkwere huyo hashauriki kabisa ndiyo maana nchi inazidi kuporomoka kwa kasi zaidi, nguvu zaidi na ari zaidi. Salma yuko wapi mboni simsikii au ndio kenda likizo baada ya Uchakachuaji wa kura?
 
Back
Top Bottom