Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,851
- 16,748
JK, JK, pokea ushauri/mapendekezo yangu najua hutaki kusikiliza, fanya haya plse kama
unataka maendeleo ya kweli, sijakupa kura yangu, but muda huu election campaign
is over, ni kushauriana, think it....
1. JK, Futa viti maalum immediately, huu ni mzigo na fedha mabilioni yanapotea
kisha among those 10 MPs unaowateua wape nafasi mfano ya walemavu, wanawake nk.
2. JK, borrow Dr. Slaa's ideas, mfano mchakato wa katiba uanze may be 6 months to come
acha aibu, working on good ideas, mafanikio yataonekana kwako, plse JK
3. JK, umemweka tena Sophia Simba, Mkuchika, Makongoro, Wasira, JK hapa umeanguka
toa hawa, si creative, si watendaji kazi, zero, unaweza badili mawazo now, hawafai
najua hutanisikiliza, anyway
4. JK, tatizo si baraza kubwaaaaaaa au ndogo la wastani, TATIZO UWAJIBIKAJI, i.e responsibility hapa
ndio ujue mtu anaharibu tena kwa kujua wazi, then eti unatoa caution, toa warning
na mtoe, mifano mingi ww unajua pia
5. JK, unakumbuka zile ahadi zako kwetu, nyingiiiiiiii, rejea zingine hazifai,impossible
to implement, chukua ideas za Dr. Slaa, Saruji, bati nondo baba watu wajenge
shusha bei, JK nisikilize maana utaweza haya ukiamua, ila sina imani.
JK, JK pokea huu ushauri utaisaidia Taifa letu lijengeke, kazi njema
unataka maendeleo ya kweli, sijakupa kura yangu, but muda huu election campaign
is over, ni kushauriana, think it....
1. JK, Futa viti maalum immediately, huu ni mzigo na fedha mabilioni yanapotea
kisha among those 10 MPs unaowateua wape nafasi mfano ya walemavu, wanawake nk.
2. JK, borrow Dr. Slaa's ideas, mfano mchakato wa katiba uanze may be 6 months to come
acha aibu, working on good ideas, mafanikio yataonekana kwako, plse JK
3. JK, umemweka tena Sophia Simba, Mkuchika, Makongoro, Wasira, JK hapa umeanguka
toa hawa, si creative, si watendaji kazi, zero, unaweza badili mawazo now, hawafai
najua hutanisikiliza, anyway
4. JK, tatizo si baraza kubwaaaaaaa au ndogo la wastani, TATIZO UWAJIBIKAJI, i.e responsibility hapa
ndio ujue mtu anaharibu tena kwa kujua wazi, then eti unatoa caution, toa warning
na mtoe, mifano mingi ww unajua pia
5. JK, unakumbuka zile ahadi zako kwetu, nyingiiiiiiii, rejea zingine hazifai,impossible
to implement, chukua ideas za Dr. Slaa, Saruji, bati nondo baba watu wajenge
shusha bei, JK nisikilize maana utaweza haya ukiamua, ila sina imani.
JK, JK pokea huu ushauri utaisaidia Taifa letu lijengeke, kazi njema