Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Mkwere ndugu yangu, mtani wangu, ninakuomba tu ujitoe kwenye kinyang'anyiro cha Urais.
Huwezi kazi Mkwere. Kazi unayoweza Mkwere ni kukaa na Salma tu. Siyo Urais.
Uliingia kwa mbwembwe Mkwere, lakini umeona. Unadharaulika na hata na vitoto vidogo Mkwere. Pole Mkwere.
Mkwere unaleta utani kwenye cheo kikibwa kabisa kwa nchi yetu?
Mkwere unatuahidi utabadili Kigoma kuwa Dubai? Aaah Mkwere? Kweli? Are you serious?
Yaani mkwere unajisifu kuwa Rais wa kwanza Afrika kukutana na Obama. Aah, siamini mtani. Sasa kama umekutana na Obama ndo tufanye nini sisi? Hiyo nayo ni sera kweli ya kuombea kura Mkwere? aah Mkwere acha masihara bwana.
Mkwere unawasifia Lowasa, Rostam na Mramba kuwa wachapakazi? Mkwere vipi? Unatuona sisi manyang'au vipi?
Mkwere umezungumza mengi kwenye kampeni zako, sikuwahi kusikia hata siku moja unazungumzia ufisadi? Unaimba habari za chandarua. Kama ni chandarua hata mimi ninacho Mkwere. Acha masihara Mkwere.
Mkwere skiza. Kwanza nikupongeze kupata nafasi ya kuiongoza Tanzania kwa miaka mi5 iliyopita.
Inatosha mkwere. Urais siyo mchiriku wala Mnanda wa Bagamoyo. Urais ni tunu. Hiyo tunu huna Mkwere. Ni bahati tu inakufanya uitwe Rais leo.
Tafuta shamba zuri huko kwenu Chalinze ukalime tu mihogo. Urais achia wanazuoni wenye fikra dynamic.
Usije kusema sikukuonya mkwere.
Huwezi kazi Mkwere. Kazi unayoweza Mkwere ni kukaa na Salma tu. Siyo Urais.
Uliingia kwa mbwembwe Mkwere, lakini umeona. Unadharaulika na hata na vitoto vidogo Mkwere. Pole Mkwere.
Mkwere unaleta utani kwenye cheo kikibwa kabisa kwa nchi yetu?
Mkwere unatuahidi utabadili Kigoma kuwa Dubai? Aaah Mkwere? Kweli? Are you serious?
Yaani mkwere unajisifu kuwa Rais wa kwanza Afrika kukutana na Obama. Aah, siamini mtani. Sasa kama umekutana na Obama ndo tufanye nini sisi? Hiyo nayo ni sera kweli ya kuombea kura Mkwere? aah Mkwere acha masihara bwana.
Mkwere unawasifia Lowasa, Rostam na Mramba kuwa wachapakazi? Mkwere vipi? Unatuona sisi manyang'au vipi?
Mkwere umezungumza mengi kwenye kampeni zako, sikuwahi kusikia hata siku moja unazungumzia ufisadi? Unaimba habari za chandarua. Kama ni chandarua hata mimi ninacho Mkwere. Acha masihara Mkwere.
Mkwere skiza. Kwanza nikupongeze kupata nafasi ya kuiongoza Tanzania kwa miaka mi5 iliyopita.
Inatosha mkwere. Urais siyo mchiriku wala Mnanda wa Bagamoyo. Urais ni tunu. Hiyo tunu huna Mkwere. Ni bahati tu inakufanya uitwe Rais leo.
Tafuta shamba zuri huko kwenu Chalinze ukalime tu mihogo. Urais achia wanazuoni wenye fikra dynamic.
Usije kusema sikukuonya mkwere.