Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
http://news.yahoo.com/nphotos/South...=/100103/481/70aafab9f3f240468ddabe57899f5e28
ukiwa rais unatakiwa uweke familia yako wazi na wananchi wote wajue sana sana idadi ya wake, bila kufanya hivyo watu wanakuona hauna maadili.
Mwinyi aliweka wake zake bayana na alikuwa na heshima kubwa sana na watu walikuwa hawana matatizo na idadi ya wake zake.
kitu kinachoniudhi ni pale unaposikia JK wanachi wakibishana kama yule ni mke wa JK au la, alafu wanaishia kusema JK kiboko.
Please JK do the right thing na fuata nyanyo za Mwinyi.