anadai hospitali zote hadi za willayani zina xray na madawa ya kutosha
Mnataka rais ndio afanye repair za xray machine? Wabongo bana
kama umeme hakuna xray wanamulikia nini.
wamama wanazalishwa kwa kutumia simu ya mkononi
hata mafuta ya taa hata karabai hakuna,lol,
Mnataka rais ndio afanye repair za xray machine? Wabongo bana
taarifa nilizonazo ni kwamba mashine za X RAY katika mikoa na wilaya ni mbovu na mzabuni anayetakiwa kuzitengeneza anayeenda kwa jina la philips amegoma kufanya hivyo kisa wizara ya afya haimlipi kwa wakati.huu ndio upuuzi unaokataliwa na madaktari.halafu vile vizee vya dar vinakaa kupiga makofi pale diamond kama majuha kalulu.
kama umeme hakuna xray wanamulikia nini.
wamama wanazalishwa kwa kutumia simu ya mkononi
hata mafuta ya taa hata karabai hakuna,lol,
kikwete kwa hotuba yake amedhiririsha hana ni ya dhati ya kurekebisha afya za watanzania,huu si mgomo wa mwisho unakuja mgomo mwingine ambao atajuta sio leo wala kesho amini unakuja na magogoni patakuwa pachungu,najuwa mnasoma hii thread mfikishieni ujumbe kuwa madaktari sio mbayuwayu watakuja wakiwa na nguvu mpya.