TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,698
- 11,033
hata David Cameroon yupo sauzi pamoja na IGP wake kustaafuWakati waziri mkuu anatakiwa kufanya maamuzi muhimu yanayoigusu serikali ni lazima/vizuri akashauriana na mkuu wa nchi!
JK kwa jinsi alivyo kuwa disconnected na mambo yanavyoenda nchini yeye akajiondokea zake na kuacha nchi gizani na wakati Bunge linajadili hoja muhimu kitaifa. Shame kwama JK hana hata intelligence ya kujua hali ya nchi ikoje.
PM amebidi afanye maamuzi bila consultation na JK lakini kwa swala la PS Jairo ikabidi libaki pending.
WaJF ukweli ni kuwa JK hakumbuki tena majukumu yake.
It seems iko sawa kwa viongozi