Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,162
Tangu serikali ya awamu ya nne iingie madarakani, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wananchi kuhusu utendaji wa JK kama kiongozi mkuu na serikali yak. Lakini kila ninapomtizama kiongozi huyu sioni hata kosa lake moja katika utendaji wake. Historia ya uongozi wake tangu anaanza hajawahi kuwa na tatizo hata moja. Shida kubwa naiona kwa tuiomweka madarakani kwani historia ya JK inajieleza vizuri kabisa hajawahi hata fanikisha kununua sindano ya kushonea kwa maslahi ya taifa. Na wakati wa kampeni ya 2005 nilikuwa almost natoka machozi nikiona watu wanavyompigia kampeni kwa matumaini makubwa kabisa usoni mwao pale chuo kikuu, nikawa najiuliza hawa watu wana matumaini ya makubwa sana kwa historia ipi. Historia ya JK ilimweka wazi kabisa lakini bado akachaguliwa, mie naona watanzania bado tunapaswa kulaumiwa kwa kumweka mtu huyu madarakani.
Kinachosikitisha zaidi ni kuwa, je hatuwezi kujifunza kutoka makosa yetu? maana 2010 tumefanya kosa hilo hilo.
Anyway, we made the same mistake 2 times, lakini maisha lazima yaendelee. Kwa hiyo tuna wajibu wa ku-support serikali pale inapofanya kitu kizuri hata kimoja hata kama ni kidogo kama punje ya ngano at the same time tunawajibu wa ku-demand haki zetu za msingi maana tukikaa kimya mkulu anweza kwenda vacation boraboya miaka 2.
Wenye kosa ni waliompitisha kugombea, na sie tuliomwidhinisha kukaa hapo..
Kinachosikitisha zaidi ni kuwa, je hatuwezi kujifunza kutoka makosa yetu? maana 2010 tumefanya kosa hilo hilo.
Anyway, we made the same mistake 2 times, lakini maisha lazima yaendelee. Kwa hiyo tuna wajibu wa ku-support serikali pale inapofanya kitu kizuri hata kimoja hata kama ni kidogo kama punje ya ngano at the same time tunawajibu wa ku-demand haki zetu za msingi maana tukikaa kimya mkulu anweza kwenda vacation boraboya miaka 2.
Wenye kosa ni waliompitisha kugombea, na sie tuliomwidhinisha kukaa hapo..