JK hajui alipotutoa na anapotaka kutupeleka.....lakini angependa tumkumbuke...

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
JK alipokuwa anajibu maswali ya watu wake wa karibu pale Ikulu siku moja kabla ya uchaguzi aliulizwa swali kuhusiana na urithi gani ambao angependa watanzania wamkumbuke......................alijibu..................ningependa watanzania wanikumbuke kuwa niliwatoa hapa na kuwapeleka pale..........lakini hakusema alitutoa wapi kwa hiyo hata yeye hapajui...........................na aliahidi kutupeleka pale bila ya kusema ni wapi ikiashiria hata yeye hajui........................Hivi mbumbumbu huyu kweli tutamkumbuka vipi kwa sababu hata yeye hajijui alitutoa wapi, tuko wapi na tunaelekea wapi....................

Kama angelikuwa anajua angelituelezea ......................mfano uchumi aliukuta wapi..............thamani ya shilingi je...............mraro wa mapato.....................mfumuko wa bei................deni la nje na la ndani je..................pato la mtanzania kabla ya kuingia na baada ya kutoka............hizi ni baadhi ya njozi za kiongozi mwenye dhima lakini huyu wetu...............tuseme ule ukweli ni bora liende tu.....................

Ninaomba kuwakilisha mada...................
 
Mini naomba nichangie kwenye inflation rate tu maana hapo ndo panatugusa wengi
Year
Inflation rate (consumer prices) (%)
2000
8.8
2001
6
2002
5
2003
4.8
2004
4.4
2005
5.4
2006
4.3
2007
5.9
2008
7
2009
10.3

so

Takwimu mbona za mfumuko wa bei hakuna.....ninaona miaka tu....ziweke ni za muhimu sana.....................
 
link inaonyesha vizurikuhusu mfumuko wa bei, angalia data zaidi hapa


Economy of Tanzania
Currency
Tanzanian shilling (TZS)
Fiscal year
1 July - 30 June
Trade organisations
African Union
World Trade Organisation

Statistics
GDP
$57.5 billion (2009)
Rank: 85th (2009)

GDP growth
4.5% (2009)
GDP per capita
$1,400 (2009)
GDP by sector
Agriculture (26.6%), Industry (22.6%)
Services (50.8%) (2009)
Inflation (CPI)
11.6% (2009)
Population
below
poverty line

36% (2009)
Labour force
21.23 million (2009)
Labour force
by occupation

Agriculture (80%), Industry and Services (20%) (2002)
Unemployment
N/A (2009)
Main industries
Agricultural processing (sugar, beer, cigarettes, sisal twine), diamond, gold and iron mining, soda ash, oil refining, shoes, cement, apparel, wood products, fertilizer, salt
Ease of Doing Business Rank
131st
External
Exports
$2.744 billion (2009)
Export goods
gold, coffee, cashew nuts, manufactures, cotton
Main export partners
India 9.1%, Japan 6.5%, the People's Republic of China 6.3%, United Arab Emirates 5.7%, Netherlands 5.5%, Germany 5.1% (2008)
Imports
$5.545 billion (2009)
Import goods
consumer goods, machinery and transportation equipment, industrial raw materials, crude oil
Main import partners
the People's Republic of China 13.7%, India 13.4%, South Africa 7.4%, Kenya 6.6%, United Arab Emirates 5.6% (2008)
Public finances
Public debt
24.8% of GDP (2009)
Revenues
$3.78 billion (2009)
Expenses
$4.693 billion (2009)
Economic aid
$1.2 billion (2001)
Main data source: CIA World Fact Book
All values, unless otherwise stated, are in US dollars



 
Wote Nyerere na Idd Amini wankumbukwa, Nyerere kwa mazuri na Amini kwa mabaya waliotenda.
JK anjua ametutoa kwenye Neema katuleta kwenye dhiki. Tutamkumbuka kwa hilo.
 
wote nyerere na idd amini wankumbukwa, nyerere kwa mazuri na amini kwa mabaya waliotenda.
Jk anjua ametutoa kwenye neema katuleta kwenye dhiki. Tutamkumbuka kwa hilo.

lazma tumkumbuke kwa hilo na zadi waovu hukumbukwa zaidi kote duniani kulikoni wema. Mfano wa karibu ni mobutu, hitla na musolini
 
Hizi takwimu ni mbaya, zatisha na pengine ndiyo maana JK hupendelea kuongelea kijuujuu kwa sababu takwimu zinamsuta..........................
 
Back
Top Bottom