- Thread starter
- #141
Anaweza kuwafutia uraia au kuwapeleka uamishoni ama kuwaua,lakini kama hawezi kufuta mawazo yao kwenye jamii ya watanzania!!!
kutokuwepo kwa watu ao ndani ya nchi hii patatulia sana ata kama wakiwa wanataka kuendeleza harakati wakiwa nje ya nchi lakini haitakuwa na mtikisiko mkubwa kama wakiwa ndani ya nchi....mfano ni kwenye nchi ya Nigeria ambapo mkufunzi na mtunga vitabu mashuhuri W. soyinka alilazimishwa kwenda ughaibuni na general Abacha, pia mtawala huyu pia akampoteza KEN Sarowiwa ndio nchi ya Nigeria ikatulia ndio na JK akitaka utawala wake usianguke ni lazima awatoe ndani ya ardhi yetu watajwa katika kuyumbisha serikali.