JK boyz waua

Freetown

JF-Expert Member
Apr 6, 2008
883
72
kwa maoni yangu timu ya taifa kuitwa jina la mheshimiwa ni kujidhalilisha. kwani hajafanya kweli katika mapigano dhidi ya rushwa.ni sifa asiyostahili. ni waandishi wa habari mliobatiza jina hilo tunaomba mliondoe.
 
si ndio tunaiga. K K 11 kama unaikumbuka enzi zile ilikuwa tishio kwa Afrika ya mashariki, sasa na sie ati JK boys
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom