Baada ya kusemwa sana katika mabaraza mawili aliyowahi kuyavunja, nilitetegemea jk ataacha kudili na kundi kubwa lililofanya kampeni chafu za kumwingiza madarakani maarufu kama wanamtandao. Lakini inaonyesha tabia hii ni sugu kwake na imejizihirisha katika baraza hili la jana. Jk tena amemteua amos makala kuwa naibu waziri. Amos ni mpiga tarumbeta wa bendi ya vijana jazi inayomilikiwa na umoja wa vijana. Bendi yenyewe inaelekea kufa mikononi mwa shigela.
Amos makala ni mwanamtandao mkubwa. Naona alikuwa nje akiomba mungu siku yoyote baraza livunjwe aingie ndani kulipwa fadhila alizomfanyia jk hadi akaingia ikulu. Ni makala huyu akitumia ofisi ya umoja wa vijana wakati huo alikuwa kaimu katibu mkuu alikuwa akikodineti mambo mbalimbali miongoni mwa wanaumoja wa vijana zikiwemo fitina zote.
Huyu na emanueli nchimbi wanajua fitina zote zilizofanyika ndani ya umoja wa vijana hadi kupata kundi kubwa la kumwezesha jk kuwa mgombea wa ccm kwenye kinyang'anyiro cha urais. Makala, nchimbi na francis isack waliwahujumu wenzao kumpigia debe jk. Leo jk amempa unaibu kama fadhila.
Jk alipasa kujiuliza kwanza makala amepata wapi hela za kununua kompyuta na kuzigawa kwenye mashule kule mvomero? Makala amepata wapi hela ya kumng'olea murad kule mvomero kama si wizi akiwa kaimu katibu wa umoja wa vijana na baadae mhasibu mkuu wa ccm kabla hajang'olewa? Kuna msafi kweli hapo au ndio toa galasa ingiza galasa? Kuna maendeleo kweli hapo?
Amos makala ni mwanamtandao mkubwa. Naona alikuwa nje akiomba mungu siku yoyote baraza livunjwe aingie ndani kulipwa fadhila alizomfanyia jk hadi akaingia ikulu. Ni makala huyu akitumia ofisi ya umoja wa vijana wakati huo alikuwa kaimu katibu mkuu alikuwa akikodineti mambo mbalimbali miongoni mwa wanaumoja wa vijana zikiwemo fitina zote.
Huyu na emanueli nchimbi wanajua fitina zote zilizofanyika ndani ya umoja wa vijana hadi kupata kundi kubwa la kumwezesha jk kuwa mgombea wa ccm kwenye kinyang'anyiro cha urais. Makala, nchimbi na francis isack waliwahujumu wenzao kumpigia debe jk. Leo jk amempa unaibu kama fadhila.
Jk alipasa kujiuliza kwanza makala amepata wapi hela za kununua kompyuta na kuzigawa kwenye mashule kule mvomero? Makala amepata wapi hela ya kumng'olea murad kule mvomero kama si wizi akiwa kaimu katibu wa umoja wa vijana na baadae mhasibu mkuu wa ccm kabla hajang'olewa? Kuna msafi kweli hapo au ndio toa galasa ingiza galasa? Kuna maendeleo kweli hapo?