JK akizundua vitabu viwili (cha kiingereza na kiswahili) kwa wageni waliohudhuria hafla hiyo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho akishuhudiwa na Mama Salma Kikwete na mwandishi wa kitabu hicho Profesa Nyang'oro.
Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu Cha Dar es salaam kwa gharama ya shillingi 25,000/= .
Kuna aliyekisoma?Tunaomba mawazo...
Source:MICHUZI
Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu Cha Dar es salaam kwa gharama ya shillingi 25,000/= .
Kuna aliyekisoma?Tunaomba mawazo...
Source:MICHUZI