Kikwete awaachia huru Polisi waliomuua Jenerali Kombe

Ndugu zangu, muwe mnasoma vingnevyo mtakuwa mna-argue kama watu wa vijiweni. Rais ana mamlaka hayo chini ya ibara ya 45(1)(a-d) na siyo ibara ya 15(1)(c) kama mnavyotaka kuwaaminisha watu. Kuhusu busara gani imetumika, hiyo hakuna mtu anayeweza kumsemea rais. Yeye mwenyewe ndo anaejua. Hata angemwachia Babu sewa, wapo watu wangehoji busara gani imetumika!! Kifupi ni kuwa, mamlaka anayo kikatiba na ameyatumia. Ombi langu. Someni. Ushabiki wa vijiweni acheni. Kwenye siasa tuongee siasa, na kwenye utaalamu tuongee kitaalamu. Otherwise, tutashusha hadhi ya Jf

Baba, hiyo nimeicopy kwenye gazeti la Mwananchi kama taarifa iivyoandikwa leo hii. Na kazi yangu ya kusoma nimeifanya maana nina imani gazeti linahaririwa hivyo usikimbilie kunishambulia. Lingine baba yangu mbona mie sijaongelea issue ya babu Seya? Ushabiki gani uliouona katika mawazo yangu hebu kuwa specific. Kwa vile mwenendo mzima wa Kifo cha kombe ulikuwa wa utata, huoni baba kuwa jambo hili linazua maswali mengi?
 
JK kaichoka ccm,
anaamua kufanya vituko makusudi ili watanzania muiondoshe ccm madarakani lakini hamtaki,
ni msaada gani mnaoutaka kutoka kwa JK zaidi ya haya madudu anayoyafanya?
au mnataka aseme wazi kuwa ccm haifai kuongoza nchi?
Kati ya JK na watanzania anaowaongoza nani mjinga hapa sasa?
 
Hao nadhani wanaachiwa ili wakaue mtu mwingine kwani they have nothing to loose. They are easy recruits kwa hiyo wale watetea haki wawe makini sasa maana sumu na ajali zimewakosakosa....
 
yamethibitika yaliyokuwa wakifikiriwa na watu wengi kuwa Gen. Kombe aliuawa na serikali ya CCM (Aliwahi kusema Mrema, AL.) sasa wametoka wauaji na wanalipwa maslahi kwa kazi yao chafu. Huyu ndie Mk wer e rais wa kwetu anafikiria kwa kutumia ubongo gani sijui
 
Katika kutoa maamuzi lazima kuwe na vigezo. Mahakama ya rufaa ilitupa rufaa yao na kutamka kuwa waliua kwa makusudi. Kama ndivyo, basi wafungwa wote wa mauaji wenye sifa kama za hawa wangeachiwa huru. Je, ni wafungwa wangapi waliohukumiwa kunyongwa wameachiwa na vigezo gani vimetumika? Bila kupata majibu tunaona serikali ndio iliwatuma kumuuwa kombe
 
lengo kuu ni kupunguza shinikizo kwenye vyombo vya ulinzi na kutoa onyo kwa maofisa usalama wanaovujisha siri kwamba wakitoa siri basi waliochini watawaua na watasamehewa na rais pia
 
Mixed views on pardon of convicted murderers

As lawyers and academicians reacted with mixed feelings over President Jakaya Kikwete’s decision to pardon two death row inmates, human rights activists have welcomed the decision. President Kikwete pardoned two police officers who were sentenced to death after they were convicted of the murder of the former director of Tanzania Intelligence and Security Service (TISS), Lieutenant General Imran Kombe in 1996.

Former Police Corporal Juma Mswa and Constable Mataba Matiku have been pardoned after President Kikwete quashed the death penalty imposed on them in 1998. The sentence was subsequently reduced to two years imprisonment for manslaughter, a period which they had already served while on death row. The President is empowered by section 15 (1) (c) of the Constitution to alter any heavy sentence, including the death penalty, given to a convicted person to a lighter sentence.

Lawyers, including advocates, said the situation in which the murder of the former spy chief occurred could have convinced the President to extend an amnesty to the convicts. However, they said that the President should have made public the criteria used in pardoning the two convicts. On the other hand, Human Rights activists hailed the decision, noting that it augurs well with their call to have the death penalty abolished. “The killing (of Lt Gen Kombe) was done on a mistaken identity which is different to intended murder. On this ground, the President was right to pardon them,” said advocate Peter Shayo.

Lt Gen Kombe was gunned down on June 30, 1996, after police had mistaken him for a hardcore criminal at Maili Sita in Moshi Urban District, Kilimanjaro Region. Police had launched a manhunt for a criminal who had stolen a car in Dar es Salaam.Mr Shayo, who was among the first local advocates after the country gained independence from British colonialists in 1961, said the police were on a manhunt for a criminal who had stolen a car and Lt Gen Kombe’s resembled the one that was stolen. “If the killing was done on a mistaken identity basis, the President’s decision could have been correct,” said the Arusha-based advocate.

An advocate who requested to remain anonymous due to sensitivity of the issue said the criteria used in extending the presidential amnesty to such cases should be made public. He said: “Today the President pardons police officers and not other persons who are also on death row. This could create more questions than answers.” A lecturer with Tumaini University called on President Kikwete to pardon all convicts on the death penalty. Former police Constable Matiku told The Citizen on Tuesday that they were freed in May, this year, while awaiting the execution of their death sentence.

Legal and Human Rights Centre (LHRC) has nodded to the move, saying it was a good thing since the government did not implement the death penalty to the two convicts. LHRC executive director Francis Kiwanga said that was a “positive move towards our efforts in demanding for abolition of the death penalty as the government has shown that it is starting to hear the outcry against such penalty.” However, Mr Kiwanga said it was not enough to pardon only two convicts since there were many others languishing in prisons for years waiting for execution.

For his part, Mr Deus Kibamba, the executive director of the Tanzania Citizens Information Bureau (TCIB), said that the decision was a manifestation of the fact that the President possesses enormous power. He said the move undermines the judiciary as the President could arbitrarily overturn decisions passed by the court. “Our country follows the rule of law and no one is above the law. If the court had proved beyond reasonable doubt and decided, why then the President overturn a legal decision,” he queried. However, he said, the move was positive as it indicated that the death penalty was not accepted in the country. But, he said, that would cast doubt as the public could question reasons on why only two of them have been pardoned while there are hundreds of people still on death row.

However, a law professor, Peter Maina, of the University of Dar es Salaam, said there is nothing wrong with the move since the President was performing his duty, adding that several other people were released in the same manner. Commenting on the issue, Mr Zepharine Galeba from Tanganyika Law Society said he saw nothing wrong with the supposedly presidential decision granting amnesty to those who were sentenced to death.

“I have only read it in newspapers, so I am not sure if it is the President or the convicts have won their appeal, if there was any,” he said. “I don’t see anything wrong with that…But whether is it fair or not is the matter that should be discussed as we are in process of forming a new constitution,” Mr Galeba commented.

However, in his reaction, one of the Citizen readers wrote yesterday criticising the decision. Mr Khalfan Abdallah wrote that he received with sadness and anguish the news of the release of two policemen convicted for the killing of Lt Gen Kombe. “Isn’t this the wrong use of presidential powers even if enshrined in our constitution? Doesn’t this prove right that the killing of Kombe was premeditated and blessed by the top member of the executive? Isn’t this the signal of loss of human value in the eyes of the president? Isn’t this an effort to undermine the judicial system of the country?” he asked.

Mixed views on pardon of convicted murderers
 
Jamani hii inazidi ku-strength argument ya kuwa na katiba mpya. Haiwezekani muuaji anahukumia kunyongwa,
Rais badala ya kusaini hati ya kunyonga anampunguzia adhabu ya kifo kuwa kifungo cha miaka miwili? Uko wapi
hapa uhuru wa mahakama. Katiba mpya lazima ieleze makosa ambayo rais anaweza kusamehe na yale ambayo
hawezi kusamehe.

Huko Marekani Rais Obama hawezi kabisa kumsamehe mtu aliyehukumiwa kunyongwa. Tatizo letu katiba yetu imempa
madaraka makubwa rais na tunapopata rais kihiyo kama JK ndiyo tunaona ubovu wa katiba. From kifo to two years
imprisonment. Anything is possible in Tanzania. Sasa kwanini watanzania tusiamini kwamba kweli aliuwawa na serikali na CCM?!

Kwa kuongezea tu jinsi ubovu wa sheria zetu zilivyo -- ile Sheria ya PCCCB ya mwaka 2007 imeweka faini kama mbadala ya kifungo kwa makosa ya ufisadi na wizi wa mali za umma. Watu wa EPA kwa mfano wakihukumiwa kulipa faini kwao ni mswaki tu.

Itakumbukwa huko nyuma makosa haya yali-fall under Minimum Sentences Act -- kwamba iwapo hakimu atampata na hatia mtuhumiwa, ni lazima aende jela si chini ya miaka 3 -- hakuna cha faini.

Siku hizi iko wapi deterrence?
 
huu ni uozo kabisa..haiwezekani mtu aue kwa makusudi then apewe msamaha..kuna kitu.basi wangefungwa maisha na sio kufuga miuaji.
 
haya yaweza kuwa ni maandalizi kwa ajili ya mauaji mengine. Kuwaachia hawa wauaji ni meseji inayotakiwa kusomwa kwa umakini ili kuielewa.
 
Dah, ama kweli sikio la kufa halina dawa!...SDielewi JK anataka kutupeleka wapi jamani...Wee mungu weee!

Hata kama Kombe aliuawa kwa bahati mbaya ya kufananishwa, makahama tayari ilikwisha pitia ushahidi wote na kufikia maamuzi ya hukumu, leo watu ambao wanadai kuwa wao wasomi wanasheria wa kutumia sheria nje ya mahakamani kujenga sababu kinyume cha ushahidi uliopatikana mahakamani hata bila kuwepo ushahidi mpya dhidi ya ule ulotangulia!

Halafu, jambo dogo tu kama kweli Kombe alifananishwa na jambazi sugu hilo jambazi sugu lenyewe liko wapi, Polisi waliweza kulikamata au ndio uchunguzi ulikwisha baada ya kuuawa kwa Kombe..Jamani, jamani basi hata angepatikana jambazi mwenyewe mkatuonyesha jinsi wanavyofanana tofauti na ushahidi ulopatikana awali... Yaani sababu yoyote ile ya kupinduwa maamuzi ya mahakama!.

Mheshimiwa JK, ndio una mamlaka makubwa sana lakini yatumiwe kwa hekima na sii uhuni wa namna hii. eeeh jamani haki ya marehemu kuishi iko wapi, Wahurumie watoto wa marehemu ambao roho zao zilipumzika kutokana na mauaji ya mzazi wao... Kwa nini badala ya hukumu ya kifo ungerudisha hata kuwa kifungo cha Maisha kama kweli unapinga hukumu za kifo au hata kuondoa kabisa hukumu za kifo, lakini sii kuwaachia wauaji huru kwa msamaha ukawaacha wezi wa nyanya na wavuta unga wakitumikia vifungo vya miaka zaidi ya 10...
 
Nimekuwa nikipitia magazeti ya leo nikakutana na habari kuwa wale askari wawili waliohukumiwa kifo na mahakama kwa kosa la kumuua Kombe wameachiwa huru baada ya huruma ya rais Kikwete kubatilisha hukumu hiyo kuwa miaka miwili,nikajiuliuza kwa nn rais asiitumie huruma hii Babu Seya na wanae?.Kuna nn kwenye hukumu hii ya babu Seya?.Watu waliwahi kusema kuwa kuna mkono wa fulani hapa,msitake niamini hivyo.Na hii ya Kombe nayo!.

Asante sana mwanagu kuleta hoja hii muhimu !!!! Unajua CCM hiyo Chama Cha Mafia siku zote ni wabaya sana. Kama kweli wacha Mungu kweli, Mungu awarehemu ila kweli Babu Seya anaonewa kwa makosa asio tenda. Ila The Serial Killers wamewaacha Huru. KWELI.

CCM ina DAMU YA WATU MKONONI MWAO NA HIZO DAMU ITALIA TUU NAKUWADAI. MUNGU AWABARIKI CCM NA VIONGOZI WAKE WOTE. KAMA KWELI WAFANYA KUJUA NI HAKI --- BASI MUNGU AWE NAO WOTE
 
Absolutely, these crookes who killed the innocent Jenerali Kombe are released for another killing. Yani Mungu awarehemu kweli kwa sababu wamewatoa kwa ajili yakuwaweka sawa maybe the CHADEMA guys...... Lakini awana hofu ya Mungu !!!! How do one fill when killing a fellow human being !!!! Tanzania na wa Tanzanian tumefika hapo !!!! Madaraka ambae tutaiacha hapa duniani kweli.

Aisee na kweli Binadamu ni wanyama. Kwani hawa wanavyofanya hivyo awatakufa !!! I hope they cotinue to live forever but if they will also die. May the Lord help them.
 
:A S embarassed: Very embarrassing kwa JK people's blood is crying and it on his hands --- he is very cruel and do not fit at all to lead this country at all. Tuna subiri kweli laiti akiona wenzake huko the Hague. He thinks Tanzania ni yake na he can detect and do whatsoever he wants to do. We are setting time for him. He has made life ya wa Tanzania mbaya kiasi kwamba anatutia kichefuchefu.
 
Hata kama yeye Rais ana haki ktk kanuni waliyo wekwa wenyewe --- lakini hawa wauaji wa Jenerali Kombe is a murder case they were supposed to be hanged or life inprisonment and not otherwise. I have never seen a horrible horrifying incambuted stupid an illitrate kama Rais yetu huyo na bado wanataka kumpa Ph.D ya nini !!!! Hata hiyo Dr. ni Sufuri mayai. AFAI sio rais wangu maybe rais ya wajinga wenzanke.
 
Awezi JK kwa sababu shida ni kwamba BABu Seya amekula na demu wake ndio nooma yote hiyo. Ukweli ndio hiyo na upo wazi ssa nauliza yeye JK atakua na wanawake wagapi ?? Mbona Rais mzima anatotia aibu ??? Malaya kama mbuzi Shame unto him. Afai kwa rais kabisa. Kwa nini tusiingie barabarani kupinga atolewe IKULU.... Tunasubiri lini jamani
 
awezi jk kwa sababu shida ni kwamba babu seya amekula na demu wake ndio nooma yote hiyo. Ukweli ndio hiyo na upo wazi ssa nauliza yeye jk atakua na wanawake wagapi ?? Mbona rais mzima anatotia aibu ??? Malaya kama mbuzi shame unto him. Afai kwa rais kabisa. Kwa nini tusiingie barabarani kupinga atolewe ikulu.... Tunasubiri lini jamani

khaaaaa!!!
 
Back
Top Bottom