JK Awa Rais wa AU

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Hapa ambazo zimenifikai hapa Dodoma humu ndani , zinasema JK sasa aukwaa Urais wa AU. Mwenye habari zaidi atutapatie .
 
Hongera zake kwa kuchukua kimeo. Nasikia Omar Konare hataki hata kusikia habari za AU. Viongozi wa AU walipomshawishi aongeze muda, aliwajibu kuwa hawako serious na yeye binafsi hana muda mwingine wa kupoteza Addis Ababa. Sasa wakati wenzetu wanaona kuwa AU si kitu cha kujivunia, inawezekana kabisa sisi tukaufanya kama mtaji wa kukwepea kashfa za BOT na Richmond.
 
Kwa Tanzania hi itakuwa sera ya CCM kwamba wanakubalika na kazi ya awamu ya 4.Hope CCM hawataitisha maandamano kumpongeza .
 
Hongera zake kwa kuchukua kimeo. Nasikia Omar Konare hataki hata kusikia habari za AU. Viongozi wa AU walipomshawishi aongeze muda, aliwajibu kuwa hawako serious na yeye binafsi hana muda mwingine wa kupoteza Addis Ababa. Sasa wakati wenzetu wanaona kuwa AU si kitu cha kujivunia, inawezekana kabisa sisi tukaufanya kama mtaji wa kukwepea kashfa za BOT na Richmond.

Wamtafute mbongo yeyete CCM atachukua hiyo post. Then atawaliza kama mama Mongella!!! Watanzania pekee ndiyo wanamuda wa kupoteza hata kama kazi haina kichwa wala miguu provided kuna pesa na wana nafasi ya kufanya ufisadi wao!!!
 
Wamtafute mbongo yeyete CCM atachukua hiyo post. Then atawaliza kama mama Mongella!!! Watanzania pekee ndiyo wanamuda wa kupoteza hata kama kazi haina kichwa wala miguu provided kuna pesa na wana nafasi ya kufanya ufisadi wao!!!

Mi naona ni mambo ya ujiko usio msingi zaidi kuliko pesa.mambo ya kujenga resume.
Kuongoza AU ni lazima uwe head of state.
 
Kazi nyumbani zinawashinda wanatafuta ujiko nje. JK tatizo hajaua kuwa jamaa washa mshtukia kuwa ni kilaza!!!
 
kwa hiyo hili nalo ni kutokana na sera nzuri za CCM...ha haha haha hahaha!
 
Mbona kiongozi wa CCM akikamatwa kwenye ufisadi wanamruka na kusema sio CCM ni mtu binafsi? lakini jambo lolote zuri hata kama haliwahusu, utasikia ni sera ma malezi mazuri ya CCM
 
hata dini ziko hivyo mabaya yanatokana na shetani na mazuri yanatokana na shetani.

hivi lunyungu mpasuko wa habari au habaipasukayo?

maana mpasuko wa habari ina maana hii habari imepasuka na kusambaratika au kunaonaje mwamme?

usinuneeeeeeeee just ni muono tu
 
Wasi wasi wangu ni kwamba sasa jamaa anaweza kuhamishia Ikulu yaliko Makao makuu . Umemsikia anaanza kusema Kichaka anakuja na Neema . Yaani anaona misaada yenye riba tena kubwa ni jambo la maana sana .Safari ndiyo sasa zimepata msafiri .
 
Katika urais wake AU cha kujiuliza; atatetea vipi scandal inayomkabili Mama Mongella...


SteveD.
 
JK ni mnafiki anaweza kujaribu jaramba lakini ajue kuna ma west afrika kule yatamtoa mkuku atashangaa maana hawana ubia na mtu .
 
Ninachukua nafasi hii kukupongeza wewe Mh. Jakaya Mrisho Kikwete (Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) na watanzania wote kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa African Union.
Kuchaguliwa kwako kwa kauli moja kuwa Rais wa AU ni ishara dhahiri ya imani waliyokuwanayo viongozi wenzako na waafrika kwa ujumla juu ya utendaji wako.
Ninakutakia afya na mafanikio mema katika kipindi chako cha uongozi.
Mwenyezi Mungu akuongoze.
 
Katika urais wake AU cha kujiuliza; atatetea vipi scandal inayomkabili Mama Mongella...


SteveD.

Je wamempa hiyo nafasi kwa mtego?

aanze na issue ya Kenya maana mpaka leo amekaa kimya.
 
nnaaamini mh kikwete atafanya mengi mazuri, nnaamini kwa dhati kikwete ni mtu mzuri na amekuja wakati unaofaa.

ni chaguo jema la afrika na nnaamini atajituma kuhakikisha afrika inasonga mbele na kupitia huko atajifunza kuinua na kuboresha tanzania
 
nnaaamini mh kikwete atafanya mengi mazuri, nnaamini kwa dhati kikwete ni mtu mzuri na amekuja wakati unaofaa.
ni chaguo jema la afrika na nnaamini atajituma kuhakikisha afrika inasonga mbele na kupitia huko atajifunza kuinua na kuboresha tanzania
Jamani wacheni kuvamia ,maana huyu mtu hotuba yake ya mwanzo pale Bungeni alisema atahakikisha anaumaliza mgogoro wa kisiasa Zanzibar na kujenga matumaini kwa raia wa Zenji kuwa muungwana atafanya kweli ,mpa leo ni matumaini tu,na huko AU ameondokea dau hilo hilo la kurudisha amani ,sasa hayo ya Kenya ambayo ndio kwanza mabichi,ya darfour ambayo UN wameshindwa ,eti si angeonesha angalau amefanikisha hapa Tanzanz ,alafu ndio tukaona atafanya kweli ,huyo atawapiga domokaya na kuwajengea matumaini kibao ,yaani wa AU watajiona ni wakuu wa UN au wa Pentagon kwa matumaini watakayojengewa alafu si wabongo tunajuana kwa kuzuga zuga ,apo Muungwana ameshawateka mawazo akijua wazi mwaka utamaliza akuna cha Kenya wa Darfur bado wakenya wataendelea kuchinjana, ila maesabu ya Muungwana yapo katika makongamano ambayo hana wasi wasi akimaliza Mwaka anaondoka na kitita,ameanza kuwapigia kiluga jamaa wameona huyu ndio kiongozi mzalendo kumbe maesabu mengi tu.
Muungwana hao jamaa wachune ile mbaya.yaani unamaliza mwaka hazina yote imeyeyuka kimaajabu ajabu ,unaweka Historia ya Tz.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom