Ndugu zangu wana bodi,
Ebu tubadilishane mawazo kwenye hii issue! Je, mwaionaje?..
1. Tupo tayari kuukabiri Ubepari? au ndio tumeisha yavulia maji nguo!
2. Wakati nchi za magharibi wanajaribu kila njia kuziba nguvu za mashirika makubwa sisi ndio kwanza tumefungua tena mnadani...
3. Ikiwa wahindi matajiri Uchwara na hao Wa shona weupe wameweza kushika nchi kiuchumi na kuleta madhara kwa wafanya biashara wadogo, je tunaweza kushindana na haya makapuni?
Kuna faida zake tena nyingi, Sii muda Dar itakuwa NY ya Africa kama ilivyokuwa Kenya kabla na baada ya Uhuru. Mashirika yote haya yamekuwepo hapo zaidi ya karne na sijaona maendeleo kwa Wakenya.
Ajira kwa wasomi kibao zitakuwepo lakini ni asilimia ngapi TZ wamesoma hadi leo!... chini ya 20%. Je, kuna sheria gani zimewekwa na serikali kuwalinda wananchi kibiashara kabla ya hayo mashirika hayajaanza kuingia?
Kazi kwenu wanabodi nipeni mawazo yenu!
Ebu tubadilishane mawazo kwenye hii issue! Je, mwaionaje?..
1. Tupo tayari kuukabiri Ubepari? au ndio tumeisha yavulia maji nguo!
2. Wakati nchi za magharibi wanajaribu kila njia kuziba nguvu za mashirika makubwa sisi ndio kwanza tumefungua tena mnadani...
3. Ikiwa wahindi matajiri Uchwara na hao Wa shona weupe wameweza kushika nchi kiuchumi na kuleta madhara kwa wafanya biashara wadogo, je tunaweza kushindana na haya makapuni?
Kuna faida zake tena nyingi, Sii muda Dar itakuwa NY ya Africa kama ilivyokuwa Kenya kabla na baada ya Uhuru. Mashirika yote haya yamekuwepo hapo zaidi ya karne na sijaona maendeleo kwa Wakenya.
Ajira kwa wasomi kibao zitakuwepo lakini ni asilimia ngapi TZ wamesoma hadi leo!... chini ya 20%. Je, kuna sheria gani zimewekwa na serikali kuwalinda wananchi kibiashara kabla ya hayo mashirika hayajaanza kuingia?
Kazi kwenu wanabodi nipeni mawazo yenu!