collezione
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 352
- 178
mimi naomba JK apate fundisho kwa wenzetu kwenye siku yao ya JAMUHURI.
wenzetu wameweza kutumia siku hii kutoa mustakabadhi wa nchi,
kwa kuonyesha mafanikio waliyopata, na wapi pakufanyia kazi zaidi.
ila sisi tulionyesha mbwembwe za jeshi, then siku ikaisha. bila hata ya raisi kutoa neno.
hii tunawanyima haki wenzetu ambao hawana elimu na wapo vijijini. kamwe hawawezi kujua mustakabadhi wa nchi yetu,
na kwa kutumia udhaifu huu, CCM inaendelea kutawala kibabe. kwasababu watu wengi hawana elimu ya uraia. na hawajui mustakabadhi wa nchi yao.
wana JF, tafakari hii
wenzetu wameweza kutumia siku hii kutoa mustakabadhi wa nchi,
kwa kuonyesha mafanikio waliyopata, na wapi pakufanyia kazi zaidi.
ila sisi tulionyesha mbwembwe za jeshi, then siku ikaisha. bila hata ya raisi kutoa neno.
hii tunawanyima haki wenzetu ambao hawana elimu na wapo vijijini. kamwe hawawezi kujua mustakabadhi wa nchi yetu,
na kwa kutumia udhaifu huu, CCM inaendelea kutawala kibabe. kwasababu watu wengi hawana elimu ya uraia. na hawajui mustakabadhi wa nchi yao.
wana JF, tafakari hii