Bila shaka anaenda kutoa shule kwa Wabunge wake kuwapa shule ya kwa nini ameridhia mapendekezo yaliyowasilishwa na vyama na asasi za kijamii. Cha kushangaza ama sielewi Hamadi Rashid kaongoza mapokezi. Ama kakabidhiwa na Makinda kwa muda ama ni harakari za kuhamia CHAMA TAWALA.
Tazama hapa.
Rais Jakaya Kikwete akiteta na Mbunge wa Wawi,Hamad Rashid baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma leo akitokea Mwanza.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.
Rais Jakaya Kikwete akiwa na Waziri Mkuu,Mizengo Pinda na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege Dodoma akitokea Mwanza.
tiss in actionhamad rashid sialikua ccm b sasa kwanini asilalamike mbele ya mwenye kiti wao....weunafanya mchezo nini yani mama(cuf) akikuwakia siunamshitaki kwa baba(ccm)....ila sijajua protocal imekaaje ampaka nae aruhusiwe kumpokea rais....yani ni fujo tupu
mi unajua kuna vitu sielewi khee huyu Hamad anampokeaje mwenyekiti wa CCM???