Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
wewe unataka kunizungumza mimi. Miye najonga hoja na kutoa maoni, ni haki yangu kutoa maoni hiyo na hakuna mtu anayeweza kuniambia niyatoe namna gani. Unayo haki ya kutoa maoni yako kuhusu nchi yako jinsi wewe unataka kutoa na hakuna mtu mwenye haki ya kuuliza kama unatoa maoni vizuri au vibaya au kusema jinsi gani maoni yako yatolewe.
Kama maoni yangu hayapendezi mbele zako mheshimiwa au hayatoshi kwenye sanduku lako la maoni unayo haki ya kuyachambua na kuyaonesha hayafai ili maoni yenye nguvu yashinde.
and to answer your question, yes I'm serious. Hakuna hoja isiyotaka kufikiwa kikomo. Sisi kama Taifa tutaendelea kulizungumza suala hili kwa muda gani? Mawazo kama ya kwako ndiyo yamesabibisha na viongozi wanaozoea na kuvumilia uzembe kwa sabab hawataki kuhitikisha mijadala ya maana na badala yake wanaivuta miaka nenda miaka rudi.
Suala la mikataba mibovu lingemalizwa zamani lakini hadi leo they are still dragging it out, bodi ya mikopo is the same thing, michezo is the same thing. Ni lazima tujifunze kuhitimisha mijadala na huu wa Kadhi ni mmoja wao. Wao waislamu wafikie mahali wapate majibu ya uhakika, Serikali ifikie mahali itoe maelezo ya uhakika n.k
Sijui kwa nini wewe unataka huu mjadala uendelee bila kukoma, kwa faida ya nani na kwa hasara ya nani?
Kama maoni yangu hayapendezi mbele zako mheshimiwa au hayatoshi kwenye sanduku lako la maoni unayo haki ya kuyachambua na kuyaonesha hayafai ili maoni yenye nguvu yashinde.
and to answer your question, yes I'm serious. Hakuna hoja isiyotaka kufikiwa kikomo. Sisi kama Taifa tutaendelea kulizungumza suala hili kwa muda gani? Mawazo kama ya kwako ndiyo yamesabibisha na viongozi wanaozoea na kuvumilia uzembe kwa sabab hawataki kuhitikisha mijadala ya maana na badala yake wanaivuta miaka nenda miaka rudi.
Suala la mikataba mibovu lingemalizwa zamani lakini hadi leo they are still dragging it out, bodi ya mikopo is the same thing, michezo is the same thing. Ni lazima tujifunze kuhitimisha mijadala na huu wa Kadhi ni mmoja wao. Wao waislamu wafikie mahali wapate majibu ya uhakika, Serikali ifikie mahali itoe maelezo ya uhakika n.k
Sijui kwa nini wewe unataka huu mjadala uendelee bila kukoma, kwa faida ya nani na kwa hasara ya nani?