JK ataka tena urais wa kuendela kuwalea mafisadi?

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233
Kila nikiangalia, naona JK anashindwa, au anawaonea haya viongozi wanaotuhumiwa na ufisadi. Kwa maana nyingine, anaonekana anawalea. Swali ninalojiuliza ni jee, anaomba kura ili aendelee kuwalea hawa mafisadi?
 
Ndiyo maana yake, kwani aliingia madarakani kwa fedha ya kifisadi, kwa lugha nyingine ni kuwa ufisadi hapa tz ni mfumo dola, na yeye JK ni sehemu ya mfumo huo , hawezi kujitafuna mwenyewe, kwani akianza kuwagusa na yeye hatapona.CHAGUA CHADEMA KUONDOA UFISADI
 
Ki hulka!!!

Jk si mtu wa kuweza wala kudhubutu Kusimama dhidi ya tuseme, TYRANTS AND DICTATORS. Hakuumbwa au hakujengeka hivyo! He is too sweet and pleasing!! Anaweza kufanya mambo mengi mazuri sana na kiukweli amayefanya .... LAKINI si kuwa wajibisha mafisadi wajeuri, wakatili na wakaidi!! Na hasa wengi kama marafiki na washiriki wa karibu!!! Anaishiwa nguvu na kusikia kuwaunga mkono kila anapotaka kuchukua hautua yoyote dhidi yao!!

Jambo la mshangao!

Kwa hali aliyonayo bado ameweza kuindesha nchi kwa miaka mitano hadi ilipo sasa! Tuseme ana kipaji kizuri cha uongozi wa jamii iliyo lala!!!? Au siri ya mafanikio yake ni nini?
 
wachangiaji mnaelewa maana ya urais?kagombeeni urais muone!
kama huoni alichofanya nenda kijijini kwako kama mnajua hata njia,mmezoea Dar mnafikiri ndio kwenu!!mmechina nyie!
 
wachangiaji mnaelewa maana ya urais?kagombeeni urais muone!
kama huoni alichofanya nenda kijijini kwako kama mnajua hata njia,mmezoea Dar mnafikiri ndio kwenu!!mmechina nyie!

Swala hapa sio Jk hajafanya kitu bali mtoa mada ameuliza "Anaomba kura ili aendelee kuwalea mafisadi?"
Jibu hoja ya kuwalea mafisadi kwanza.
 
Ki hulka!!!

Jk si mtu wa kuweza wala kudhubutu Kusimama dhidi ya tuseme, TYRANTS AND DICTATORS. Hakuumbwa au hakujengeka hivyo! He is too sweet and pleasing!! Anaweza kufanya mambo mengi mazuri sana na kiukweli amayefanya .... LAKINI si kuwa wajibisha mafisadi wajeuri, wakatili na wakaidi!! Na hasa wengi kama marafiki na washiriki wa karibu!!! Anaishiwa nguvu na kusikia kuwaunga mkono kila anapotaka kuchukua hautua yoyote dhidi yao!!

Jambo la mshangao!

Kwa hali aliyonayo bado ameweza kuindesha nchi kwa miaka mitano hadi ilipo sasa! Tuseme ana kipaji kizuri cha uongozi wa jamii iliyo lala!!!? Au siri ya mafanikio yake ni nini?

Kwenye rangi: Ndiyo hasa -- na kwa maana hiyo kama urais ni hivyo anavyuchukulia muungwana, basi mtu yeyote anaweza kuwa rais wa hapa Bongo!
 
Kila nikiangalia, naona JK anashindwa, au anawaonea haya viongozi wanaotuhumiwa na ufisadi. Kwa maana nyingine, anaonekana anawalea. Swali ninalojiuliza ni jee, anaomba kura ili aendelee kuwalea hawa mafisadi?

Mwonja asali haonji mara moja.
 
Ni wazi kwamba JK hapaswi kuchaguliwa tena kuongoza nchi hii kwa sababu kazi ra urais imemshinda. Huwezi kuwa rais halafu ukawa rafiki mkubwa wa mafisadi wanaoiangamiza nchi. Tatizo kubwa la nchi yetu ni umaskini unaosababishwa na kukosekana kwa utawala bora (good governance) na rule of law. Watu wanakwiba raslimali za nchi na kuachiwa hivi hivi. Miongoni mwa vituko alivyofanya JK ni pale alipowataka wezi wa fedha za EPA kuzirejesha (sijui kama walizirejesha kweli!) halafu akawaachia huru na kuanzisha sinema ya kuwashitaki wale walioshindwa kuzirejesha. This is ridiculous! Sidhani kama hii imewahi kutokea nchi yoyote duniani. Mwizi yeyote hufikishwa kwanza mahakamani na kuiachia sheria ichukue mkondo wake.
 
Back
Top Bottom