Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,932
- 32,340
Ritz hilo panga ni la kuia CCM kama hujui. Jiandae kwenda ADC.
Na bado mtaendelea kulia lia tu humu JF babu yenu katoshwa.
Ritz hilo panga ni la kuia CCM kama hujui. Jiandae kwenda ADC.
Na bado mtaendelea kulia lia tu humu JF babu yenu katoshwa.
Kile chama kikongwe wewe, umesikia kumpata mgombea umeya kule Ilemela kupitia CDM? ngoma nzito. SLAA amemtuma msuluhishi, kama mgogoro kama wa SYRIA.CCM inapotaka kufanya lake haijali kama kuna baba mkwe wala kumuonea mtu aibu.Wacha CDM waendeleze ufamle na kuogopana.
Mkono hajala peke yake amekula na CCM, bilioni za TANESCO waligawana vizuri kabisa
.anaye jua tafasiri ya maneno haya atupe hapa maana nadhani huu ni unabii kwao
'' MENE MENE TEKERI PERESI ''
teh teh teh. wajiandae kuwapokea wote hao, LEMBELI, BASHE,KIGWANGALA na MKONO. Halafu eti bado watajiita CHADEMA badala ya CCM magamba.Kuwa specific na jambo unalotaka kulisemea haueleweki au jana uliingia shift ya usiku kiwandani.
Mkono hajala peke yake amekula na CCM, bilioni za TANESCO waligawana vizuri kabisa
Akate na majina ya watu wake! Hapo tutamwelewa. Anauliza wenzake wanakimbilia nini NEC? Mbona yeye ukoo mzima unajazana huko?
Kile chama kikongwe wewe, umesikia kumpata mgombea umeya kule Ilemela kupitia CDM? ngoma nzito. SLAA amemtuma msuluhishi, kama mgogoro kama wa SYRIA.
Hakuna mpenda majungu na fitna kama slaa yaani aliwaondoa madiwai arusha kwa kusikiliza majungu na fitna za Lema na juzi juzi tu amewaondoa madiwani wa mwanza kwa kusikiliza majungu na fitna kutoka kwa Wenje yaani mpaka sasa slaa anatumia akili za mchumba wake kwa uendeshaji wa chama.
Mkono hajala peke yake amekula na CCM, bilioni za TANESCO waligawana vizuri kabisa
Jana slaa amekwenda mwenyewe mwanza kusuluhisha lakini imeshindikana maana slaa nae anamtu wake anaetaka awe meya kazi ipo!
Maskini Dialo,kosa lake ni kukubali kurusha live mikutano na makongamano ya CHADEMA live kupitia tv yake ya STAR TV japo ni biashara,hawa magamba wanataka ale wapi??!
JK ndio kaishafanya picha