Elections 2010 Jk aponya madonda na maumivu ya wapinzani

wakushanga

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
552
92
Ni mesikia katika vyanzo vya habari kuwa kauli ya JK, amewaambia wananchi kuwa uchaguzi umeisha kwa ivyo sasa ni wakati wa kuponya madonda ya uchaguzi, aidha amewataka watanzania kusahau yote yaliyo tokea na kuelekeza mawazo yao katika mambo mengine.

sasa hisia zangu wana JF mimi bado vidonda havijapona na vinamaumivu yapo sana tu, kwa mawazo yangu wananchi wangeombwa radhi kwa uwongo uliofanywa na nec

hii itasaidia kidogo kuponya hayo madonda yetu, lakini kura ziibwe na madonda yapone tu.....jamani kweli......!!!!

hili jamani halijakaa vizuri!!!! sijui mnalionaje hili
 
Wakati mwingine ni vema kujifunza badala ya kujifua, haya yote yaliyokuwa na kasoro, hasa kwa nyinyi vyama vya upinzani mmeweka mkakati gani kuhakikisha hayatokei?

Hakuna sababu ya kuendelea kugombana, ila kupambana kidiplomasia kwa kuweka pressure ya kisayansi tengenezeni realistic stratergies!

Nawaambia imarisheni chama chenu, unganisheni wanachama anzisheni shughuli za kichama na muwe wengi muwe na ushawishi mkubwa wakati wa uchaguzi muone kama haitakuwa tofauti.
 
Wakati mwingine ni vema kujifunza badala ya kujifua, haya yote yaliyokuwa na kasoro, hasa kwa nyinyi vyama vya upinzani mmeweka mkakati gani kuhakikisha hayatokei?

Hakuna sababu ya kuendelea kugombana, ila kupambana kidiplomasia kwa kuweka pressure ya kisayansi tengenezeni realistic stratergies!

Nawaambia imarisheni chama chenu, unganisheni wanachama anzisheni shughuli za kichama na muwe wengi muwe na ushawishi mkubwa wakati wa uchaguzi muone kama haitakuwa tofauti.

we unaongea nini bana?unataka kutukanwa hapa watu tupewe BAN
 
Ni mesikia katika vyanzo vya habari kuwa kauli ya JK, amewaambia wananchi kuwa uchaguzi umeisha kwa ivyo sasa ni wakati wa kuponya madonda ya uchaguzi, aidha amewataka watanzania kusahau yote yaliyo tokea na kuelekeza mawazo yao katika mambo mengine.

sasa hisia zangu wana JF mimi bado vidonda havijapona na vinamaumivu yapo sana tu, kwa mawazo yangu wananchi wangeombwa radhi kwa uwongo uliofanywa na nec

hii itasaidia kidogo kuponya hayo madonda yetu, lakini kura ziibwe na madonda yapone tu.....jamani kweli......!!!!

hili jamani halijakaa vizuri!!!! sijui mnalionaje hili
Madonda ni mengi sana:
JK kuita CHADEMA ni chama cha kidini ni donda ambalo haliwezi kufutwa kilahisi bila kukanusha
Kuita CUF ni chama cha kidini pia ni donda jingine kubwa!
Kuita chadema ni chama cha kikanda hilo donda linaweza kufutika just kwa maneno au kwa kutamka amefanya kuwa kubwa zaidi!
Haya madonda yanaweza kufutika kwa kupigana na ufisadi kwa nchi nguvu zote,
Adui yetu mkubwa ni ufisadi hata msijalibu kuleta hoja za ajabu huku tukiiibiwa!
 
Wakati mwingine ni vema kujifunza badala ya kujifua, haya yote yaliyokuwa na kasoro, hasa kwa nyinyi vyama vya upinzani mmeweka mkakati gani kuhakikisha hayatokei?
Hakuna sababu ya kuendelea kugombana, ila kupambana kidiplomasia kwa kuweka pressure ya kisayansi tengenezeni realistic stratergies!

Nawaambia imarisheni chama chenu, unganisheni wanachama anzisheni shughuli za kichama na muwe wengi muwe na ushawishi mkubwa wakati wa uchaguzi muone kama haitakuwa tofauti.
wewe kweli hamnazo bila kufanya marekebisho ya hii tume ya uchaguzi hata wa-TZ wote wawe wapo upinzani itakuwa ngumu kushinda mifano ipo hebufikiaria mkuu wa wilaya ana amrisha watendaji wahalmashauri wafanye wawezavyo kuhakisha upinzani haushindi kwenye eneo lake eti ikitokea hivyo kibarua hana na huu ndo msingi wa uchakachuaji wa kura sasa ktk hali hii hiyo mikakati inatakiwa ianzie kwenye marebibisho ya hilodubwashika tume NEC
 
hakuna kitu kibaya kama kupandikiza Udini na ukabila, JKaliona vitakuwa ni vya kupita lakini kwa baadhi ya watu hivyo vitu havitoki na taratibu vinawaingia watu na mwisho wa siku tutakuja kujuta
 
JK anataka kujikosha tu kwa watu...kuporomoka kwa zaidi ya 20% si kitu kidogo!!
 
we unaongea nini bana?unataka kutukanwa hapa watu tupewe BAN

Profesa kasema kweli; kuna uwezekano mkubwa kabisa ya yaliyojiri kuruhusiwa na kutokea na upinzani wenyewe kwa kutojua ama kwa kujua!

Na ngd yangu kalamu...................matusi yatakuondolea heshima uliyonayo! Tunaelekezana na sio kutukanana!:A S angry:
 
Kwani hii tume kunashida gani kama wakiirekebisha ikawa Huru na Haki jamani
 
mi nakwambia hili donda langu halitapona

mi nakwambia as long as huyu jamaa( kikwete) yuko pale

wala dawa siweki ntaliacha hivyo hivyo, wacha linuke
 
Wakati mwingine ni vema kujifunza badala ya kujifua, haya yote yaliyokuwa na kasoro, hasa kwa nyinyi vyama vya upinzani mmeweka mkakati gani kuhakikisha hayatokei?

Hakuna sababu ya kuendelea kugombana, ila kupambana kidiplomasia kwa kuweka pressure ya kisayansi tengenezeni realistic stratergies!

Nawaambia imarisheni chama chenu, unganisheni wanachama anzisheni shughuli za kichama na muwe wengi muwe na ushawishi mkubwa wakati wa uchaguzi muone kama haitakuwa tofauti.


Yeye ndiye alikuwa akihubiri huo ujinga kuwa wapinzani wana tumia dini kuingia ikulu huku akijua kuwa alikuwa anataka kupata kura za uongo. Yeye mwenyewe afanye hiyo kazi kwa kuwa ndio ulikuwa mtaji wake.
 
kwani kama anajua ukweli hawezi akakubali tu kama sio kuomba radhi kuwa tume ilichakachua na kudanganya wananchi!!!???
 
JK aache kutoa kauli zake kirahisi rahisi hivyo wakati anajua yeye ndiye msababishaji mkubwa na amelazimisha kurudi ikulu kwa uchakachuaji kupitia taasisi yao NEC. Cha msingi ni kutoa tamko rasmi ya kuwaeleza umma wa watanzania na jamii ya kimataifa jinsi uchaguzi ulivyovurugwa na NEC ya CCM na msimamo wa CHADEMA. Zaidi ya hayo ni kujipanga vizuri kama chama na kudai haki ya kuwa na tume huru ya uchaguzi itakayoundwa kwa kushirikisha vyama vyote. Huo ujumbe wa dini uliowatembelea CHADEMA pekee yake mara mbili kabla na baada ya uchaguzi ni mamluki wa CCM pia.
 
anajua nini alichokifanya ndio maana amasema tuponye madonda eeeeh.......haya poni ivi ivi kaka
 
Back
Top Bottom