wakushanga
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 552
- 92
Ni mesikia katika vyanzo vya habari kuwa kauli ya JK, amewaambia wananchi kuwa uchaguzi umeisha kwa ivyo sasa ni wakati wa kuponya madonda ya uchaguzi, aidha amewataka watanzania kusahau yote yaliyo tokea na kuelekeza mawazo yao katika mambo mengine.
sasa hisia zangu wana JF mimi bado vidonda havijapona na vinamaumivu yapo sana tu, kwa mawazo yangu wananchi wangeombwa radhi kwa uwongo uliofanywa na nec
hii itasaidia kidogo kuponya hayo madonda yetu, lakini kura ziibwe na madonda yapone tu.....jamani kweli......!!!!
hili jamani halijakaa vizuri!!!! sijui mnalionaje hili
sasa hisia zangu wana JF mimi bado vidonda havijapona na vinamaumivu yapo sana tu, kwa mawazo yangu wananchi wangeombwa radhi kwa uwongo uliofanywa na nec
hii itasaidia kidogo kuponya hayo madonda yetu, lakini kura ziibwe na madonda yapone tu.....jamani kweli......!!!!
hili jamani halijakaa vizuri!!!! sijui mnalionaje hili