Eshacky
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 962
- 243
Katika status yake leo hii facebook, mhe, ameongelea kuhusu kuwa na makabila na imani tofaut za dini lakini bado tunaishi kindugu hivyo anasema ni kitu kimojawapo cha kujivunia katika miaka 50 ya uhuru, tatizo limejitokeza baada ya kuandika status kwa kithungu,kutojibu maoni ya watu,ugum wa maisha na picha aliyopiga na 50 cent. Natumia mobile mwenye uwezo wa ku attach yale maoni toka fb asaidie, nawasilisha.