Jk aoga matusi na dhihaka katika status yake facebook kuhusu miaka 50 na amani yetu

Eshacky

JF-Expert Member
Apr 26, 2011
962
243
Katika status yake leo hii facebook, mhe, ameongelea kuhusu kuwa na makabila na imani tofaut za dini lakini bado tunaishi kindugu hivyo anasema ni kitu kimojawapo cha kujivunia katika miaka 50 ya uhuru, tatizo limejitokeza baada ya kuandika status kwa kithungu,kutojibu maoni ya watu,ugum wa maisha na picha aliyopiga na 50 cent. Natumia mobile mwenye uwezo wa ku attach yale maoni toka fb asaidie, nawasilisha.
 
Nimefungua hii thread nione JK alioga hayo matusi na dhihaka kumbe na wewe unaomba kwa wengine wakuwekee hayo matusi

Kweli JF ni uwanja wa fujo kila mtu nafujo zake! Haya tusubiri
 
Nimefungua hii thread nione JK alioga hayo matusi na dhihaka kumbe na wewe unaomba kwa wengine wakuwekee hayo mtusi

Kweli JF ni uwanja wa fujo kila mtu nafujo zake! Haya subiri watakuja kukuwekea

maisha yako ya tabu sana ritz, unahangaika kumwekea oxygen maiti!
 
Mkuu wa nchi na 50 cent,twafaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!! images[1].jpg
 
Hahahaha... Hivi weye unadhani jk anamuda wa kupoteza facebook!...???! Huyo obvious ni mtu kaamua kutumia jina la jk!.. Hata mimi naweza nikaamuwa na kutengeneza id nikaipa jina jk...
 
Hahahaha... Hivi weye unadhani jk anamuda wa kupoteza facebook!...???! Huyo obvious ni mtu kaamua kutumia jina la jk!.. Hata mimi naweza nikaamuwa na kutengeneza id nikaipa jina jk...

mkuu ile ni official social network account sababu hata picha za DICOTA na mikutano yote anayoifanya hutumia account ile kupost status zake ila leo watu wamemtolea uvivu.
 
Hii ndio part ya majibu tka kwa wachangiaji kwenye page yake


  • Abdallah Awadh God blessing our country 4 being peacfully,unity and cooperation2 hours ago · Like

  • Andrew Mushai that is something we can be proud of but all thanks to Lord cause what He has gevin us is not what other have all the way to 50 years of independent2 hours ago · Like

  • Augustine Modest Nyami Mr. Prisident we proud and now we are going to be in one tribe its luck!2 hours ago · Like

  • Berious Nyasebwa But why few are enjoyn the national cake and majority are ignored2 hours ago · Like

  • Aggie Ndalahwa Maisha magumu , njaa kali , sukari juu , umeme hakuna , petrol juu , sisi wa nani ? Hela haikai vitu gharama . Kweli ndo ahadi ulotupa maisha bora hii kwa kila mtanzania ? Think about it . Inauma sana kwakweli2 hours ago · Like · 7 people

  • De Kleinson Kim Proud of stupid and humilation moments from your friends? Proud of your trip to take a snap with 50 cent? Proud of you selling our land in national parks to arabs only coz of few USD and suits? Proud of having a president who is less concerned with our problems? Proud of your party which tend to devide us? Shame upon your face hounorable!2 hours ago · Like · 4 people

  • Ali Dewji The trigger word being 'survived'..we have survived, where we should have FLOURISHED. That in itself is a failure which needs to be addressed. Happy 50th and here's hoping that the next 50 will conclude with better utilisation of our vast resources.

 
Ritz ndo ujue sio JF tu, ndo waliomchoka na vituko vyake, kila social network inamponda, sa inabid uwende na kule ukamtetee,la sivyo nepi nepi atakufukuza kaz km FF.
 
Ni vema kaambiwa ukweli maana tusijipofushe kana kwamba hali ni shwari wakati nchi imeenda mrama..mi kwa mfano hili la umeme nina khasira mpk basiiii
 
ha ha ha! Kaamua Kuifuta ile status kudadadek, ujumbe ushamfikia, akae akijua we are tired of his nonsense. Ye kucheka cheka tu. Na subir vyuo vifunguliwe km waandamizi wake wanampa matakwimu na kupongezana na mivinyo ndo atajua ukwel pale ambapo vyuo vyote nchini vitakapogoma! Wajiandae kuwatupia zigo la lawama CDM,maana ndo zao.
 
ha ha ha! Kaamua Kuifuta ile status kudadadek, ujumbe ushamfikia, akae akijua we are tired of his nonsense. Ye kucheka cheka tu. Na subir vyuo vifunguliwe km waandamizi wake wanampa matakwimu na kupongezana na mivinyo ndo atajua ukwel pale ambapo vyuo vyote nchini vitakapogoma! Wajiandae kuwatupia zigo la lawama CDM,maana ndo zao.

Wanasemaga a drowning man will clutch a straw..so sishangai sana wao kusema kila kitu chadema
 
ha ha ha! Kaamua Kuifuta ile status kudadadek, ujumbe ushamfikia, akae akijua we are tired of his nonsense. Ye kucheka cheka tu. Na subir vyuo vifunguliwe km waandamizi wake wanampa matakwimu na kupongezana na mivinyo ndo atajua ukwel pale ambapo vyuo vyote nchini vitakapogoma! Wajiandae kuwatupia zigo la lawama CDM,maana ndo zao.

Muziki wa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu hajawahi kuumudu tangu ameingia magogoni 2005. Sasa mwaka huu bodi ya mikopo imetoa mikopo kwa watu wachache kuliko hata mwaka jana, huo mtanange unaokuja sipati picha.


Lakini kama kawaida ya jk atanyamaza kimya kama haoni wala kusikia na kumuachia homeboy wake kawambwa na safari za nje zitaongezeka.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom