Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Hajafuta. you need to log in your facebook account to read all the comments. Ila comments wanazoacha watu sio mchezo though nakubaliana nae aliposema we "have survived for fifty years." Yaliyondikwa kule yangeandikwa hapa unakula ban la maisha.
Kama angekuwa PAW anafanyakazi FB, basi wangekuwa wanapata hasara kila siku. PAW atakuwa anafukuza Members kwa kuwapiga BAN kila sec. Ndio maana mimi huwa naipenda FB kwa hilo Freedom of Speech ipo kule sio hapa JF hata kama unatuma ujumbe kwa fisadi Kikwete unamfikia bila ya kuchakachuliwa na kina PAW
=======================