Elections 2010 JK anaweza kumtangaza PM Mzanzibari?

Sidhani sababu ya sherie ya CCM kuondoa udini kama rais ni mwislamu waziri mkuu lazima awe mkristo
 
muanzisha thread hii, si ungeunganisha tu swali lako ktkt thread zingine zinazozungumzia ishu hii. MODS am confused, ni ipi niifuate inipe taarifa sahihi?
 
Hayo mambo ya huyu akitoka bara huyu atoke zenji au rais muislam PM mkristo inatuzingua sana, itasababisha tupate viongozi wabovu.

Naomba tuachane na hili swala Nyerere alisema hailipi kabisa
 
Tanzania haina katiba wala haifuati desturi, iliyopo ni viraka vitupu na rais akitaka kufanya uamuzi wowte anweka kiraka chake. Kama ingelikuwa desturi, ingebidi ateue mkristo kuwa waziri mkuu, lakini kwa kuwa hata yeye na Mkapa walipochaguliwa kwa mara ya kwanza ile desturi ya kupishana urais kati ya TZBara na TZ ZNZ iliwekwa upande. Kwa ufupi, anaweza kufanya atakavyo kwa sababu uamuzi wowote ataotoa haumo katika katiba.
 
Back
Top Bottom