Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,772
Maneno ya Kinana mwenyewe kama ilivyoripotiwa na Mwananchi, 31/01/2012
"'Nitamwambia Rais kuwa wananchi wanakubaliana na utendaji wako ila uongeze ukali...Hili suala la kuonea aibu la chama cha CCM ndilo linalosababisha wapinzani wapate nguvu, haiwezekani Kiongozi wa CCM anaona matatizo halafu anakaa kimya, wapinzani wakisema mnasema wanapiga kelele".
"'Nitamwambia Rais kuwa wananchi wanakubaliana na utendaji wako ila uongeze ukali...Hili suala la kuonea aibu la chama cha CCM ndilo linalosababisha wapinzani wapate nguvu, haiwezekani Kiongozi wa CCM anaona matatizo halafu anakaa kimya, wapinzani wakisema mnasema wanapiga kelele".