AlamaZA NYAKATI
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 274
- 28
Karibu viongozi wote walitoa maoni kwa jinsi viongozi na watz wanavyomuenzi Mwalimu, lakini sijasikia kauli yeyote kwa mkuu wa nchi kuhusu Mwalimu......kunani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina uhakika kama siku ya kumbukumbu ya kifo cha baba wa taifa alikuwa nchini...mgeni rasmi kule Mara alikuwa makamu wa rais...Karibu viongozi wote walitoa maoni kwa jinsi viongozi na watz wanavyomuenzi Mwalimu, lakini sijasikia kauli yeyote kwa mkuu wa nchi kuhusu Mwalimu......kunani?
Thubutu.Mamvi akiingia madarakani utamuona pale mahakamani kaka!