Elections 2010 JK anakacha midahalo kwa sababu ya ratiba lakini mechi Mmmh

Masauni

JF-Expert Member
Aug 15, 2010
386
58
Kwa kweli mambo yanayofanywa na Kikwete na CCM yake yanazidi kunichefua sana. Nakumbuka huyu JK kupitia kinana walisema hawawezi kushiriki midahalo kwa sababu ya ratiba yao imejaa mpaka siku ya mwisho wa kampeni. Mashabiki wa CCM walishangilia kama kawaida yao. Huyu huyu jamaa tumeona akijialika kwenye sherehe ya walimu, na sasa eti mgeni rasmi kwenye mechi ya TZ and Moroco, Je, muda umepatikana wapi. Je, kipi bora kati ya hayo na kufanyiwa 'interview' na watazania ambao unawaomba kazi tena kwa nguvu kubwa?. JK kuna uovu mkubwa sana ambao hataki uanikwe wakati wa mdahalo.Kama alivyosema mwezangu katika thread yake inakuwaje unaomba kazi, mwajiri anakwambia nikufanyie interview wewe unakataa! Kama watanzania tungekuwa serious hii nadhani ni sababu tosha yakumnyima kura. Lakini CCM inaona kila Mtanzania ni mjinga, ni mtu wa kudanganywa na kudanganyika! WATANZANIA TUSIKUBARI UPUMBAVU HUU WA KUDANGANYWA KAMA WATOTO WADOGO.
 
Kwa kweli mambo yanayofanywa na Kikwete na CCM yake yanazidi kunichefua sana. Nakumbuka huyu JK kupitia kinana walisema hawawezi kushiriki midahalo kwa sababu ya ratiba yao imejaa mpaka siku ya mwisho wa kampeni. Mashabiki wa CCM walishangilia kama kawaida yao. Huyu huyu jamaa tumeona akijialika kwenye sherehe ya walimu, na sasa eti mgeni rasmi kwenye mechi ya TZ and Moroco, Je, muda umepatikana wapi. Je, kipi bora kati ya hayo na kufanyiwa 'interview' na watazania ambao unawaomba kazi tena kwa nguvu kubwa?. JK kuna uovu mkubwa sana ambao hataki uanikwe wakati wa mdahalo.Kama alivyosema mwezangu katika thread yake inakuwaje unaomba kazi, mwajiri anakwambia nikufanyie interview wewe unakataa! Kama watanzania tungekuwa serious hii nadhani ni sababu tosha yakumnyima kura. Lakini CCM inaona kila Mtanzania ni mjinga, ni mtu wa kudanganywa na kudanganyika! WATANZANIA TUSIKUBARI UPUMBAVU HUU WA KUDANGANYWA KAMA WATOTO WADOGO.

Mungu anaona kaka. Mungu siyo mwanadamu.

Timu imelala mbele yake.
 
Kwa kweli mambo yanayofanywa na Kikwete na CCM yake yanazidi kunichefua sana. Nakumbuka huyu JK kupitia kinana walisema hawawezi kushiriki midahalo kwa sababu ya ratiba yao imejaa mpaka siku ya mwisho wa kampeni. Mashabiki wa CCM walishangilia kama kawaida yao. Huyu huyu jamaa tumeona akijialika kwenye sherehe ya walimu, na sasa eti mgeni rasmi kwenye mechi ya TZ and Moroco, Je, muda umepatikana wapi. Je, kipi bora kati ya hayo na kufanyiwa 'interview' na watazania ambao unawaomba kazi tena kwa nguvu kubwa?. JK kuna uovu mkubwa sana ambao hataki uanikwe wakati wa mdahalo.Kama alivyosema mwezangu katika thread yake inakuwaje unaomba kazi, mwajiri anakwambia nikufanyie interview wewe unakataa! Kama watanzania tungekuwa serious hii nadhani ni sababu tosha yakumnyima kura. Lakini CCM inaona kila Mtanzania ni mjinga, ni mtu wa kudanganywa na kudanganyika! WATANZANIA TUSIKUBARI UPUMBAVU HUU WA KUDANGANYWA KAMA WATOTO WADOGO.

kudos, point kuliko maelezo
 
Rais wetu haelewi yapi ya msingi, alifikiri angetumia mechi kama jukwaa la kampeni, mh!
 
Jamani kilichonikera zaidi Jana ni pamoja na ccm kugawa vipeperushi vikimsifia nakumuelezea huyo mgonjwa Wa kuanguka kwamba ni mpenda michezo hivyo bac tumchague ,
wengine tulienda kuangalia mechi sio kampeni za uchaguzi
 
Rais wetu haelewi yapi ya msingi, alifikiri angetumia mechi kama jukwaa la kampeni, mh!
...which backfired.
Nilikuwa naiangalia mechi kupitia super sport JK alivokuwa anaingia alipunga mkono, wakati huo huo a section of the crowd kwenye stands ikaonyeshwa kwenye screen. Sikuona hata mtu mmoja kupunga mkono back! Ni tofauti na mechi za nyuma za jinsi hii.
 
Rais wetu haelewi yapi ya msingi, alifikiri angetumia mechi kama jukwaa la kampeni, mh!
sasa timu imefungwa mbele yake.
hivi nilimwona KIBONDE anamkabidhi jezi ya timu ya Morocco, hii ina maana alikuwa anaipigia chapuo Morocco ishinde au nini?.... kwa kweli ile picha ilinikera ila nikafunga bakuli langu
 
Kwa kweli mambo yanayofanywa na Kikwete na CCM yake yanazidi kunichefua sana. Nakumbuka huyu JK kupitia kinana walisema hawawezi kushiriki midahalo kwa sababu ya ratiba yao imejaa mpaka siku ya mwisho wa kampeni. Mashabiki wa CCM walishangilia kama kawaida yao. Huyu huyu jamaa tumeona akijialika kwenye sherehe ya walimu, na sasa eti mgeni rasmi kwenye mechi ya TZ and Moroco, Je, muda umepatikana wapi. Je, kipi bora kati ya hayo na kufanyiwa 'interview' na watazania ambao unawaomba kazi tena kwa nguvu kubwa?. JK kuna uovu mkubwa sana ambao hataki uanikwe wakati wa mdahalo.Kama alivyosema mwezangu katika thread yake inakuwaje unaomba kazi, mwajiri anakwambia nikufanyie interview wewe unakataa! Kama watanzania tungekuwa serious hii nadhani ni sababu tosha yakumnyima kura. Lakini CCM inaona kila Mtanzania ni mjinga, ni mtu wa kudanganywa na kudanganyika! WATANZANIA TUSIKUBARI UPUMBAVU HUU WA KUDANGANYWA KAMA WATOTO WADOGO.
Mkuu Masauni hizo sehemu anazokwenda muheshimiwa ni sehemu ya kampeni, kampeni haiishiii kwenye mikutano ya kampeni na midahalo tu
 
Kwa kweli mambo yanayofanywa na Kikwete na CCM yake yanazidi kunichefua sana. Nakumbuka huyu JK kupitia kinana walisema hawawezi kushiriki midahalo kwa sababu ya ratiba yao imejaa mpaka siku ya mwisho wa kampeni. Mashabiki wa CCM walishangilia kama kawaida yao. Huyu huyu jamaa tumeona akijialika kwenye sherehe ya walimu, na sasa eti mgeni rasmi kwenye mechi ya TZ and Moroco, Je, muda umepatikana wapi. Je, kipi bora kati ya hayo na kufanyiwa 'interview' na watazania ambao unawaomba kazi tena kwa nguvu kubwa?. JK kuna uovu mkubwa sana ambao hataki uanikwe wakati wa mdahalo.Kama alivyosema mwezangu katika thread yake inakuwaje unaomba kazi, mwajiri anakwambia nikufanyie interview wewe unakataa! Kama watanzania tungekuwa serious hii nadhani ni sababu tosha yakumnyima kura. Lakini CCM inaona kila Mtanzania ni mjinga, ni mtu wa kudanganywa na kudanganyika! WATANZANIA TUSIKUBARI UPUMBAVU HUU WA KUDANGANYWA KAMA WATOTO WADOGO.

Mkuu Jana alikuja uwanjani kufanya kampeni, maana tuligaiwa Vipeperushi vya kuchagua CCM na Kikwete hahahah wakati tunagaiwa tu na goli likafungwa kweli wamebanwa pabaya mwaka huu...
 
Ndio maana nyimbo za taifa zikapotea... Ha ha ha haaaaa... Zikapigwa kipindi cha pili kilipotaka kuanza!!! Na bora tulipigwa kamoja... Maana angeipeleka katika kampeni zake Bwa ha ha ha ha haaaaa...
 
Back
Top Bottom