Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kama December alijiuma-uma. Aka-dig round the bush.
Mwezi huu itakuwaje? Tutarajie nini kutoka kwa Mr. Jakaya?
Mwezi huu itakuwaje? Tutarajie nini kutoka kwa Mr. Jakaya?
kwani ni dr au proff, mi najua ni dr,dr,dr,dr,dr, na anafurahi kuitwa hivyo.harafu ujue anajiita dr.
yaani hii nilijua itakufa tuu kwani ngumu saaana!hali ikiendelea hivi atafuta huu utaratibu,hivi ule wa kuulizwa maswali live kwenye tv uliishia wapi?
Harafu ujue anajiita Dr.
Huo mda anaoutumia kukremisha hotuba bora angekuwa anacheza kiduku, mana ndo anachokipenda hicho
Harafu ujue anajiita Dr.
Kama yule wa Gambia, His Excellency the President Sheikh Professor Alhaji Dr Yahya Abdul-Azziz Jemus Junkung Jammeh