spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
Kuna matumizxi mabaya ya Fedha zetu, PAYE zetu, kodi zetu, mirahaba yetu
Jk anaendeleza Tour nje saivi ashenda Belgium,Egypt & Zambia sasa waziri wa mabo ya nje anafanya kazi gani???
Naona JK anasahau majukumu yake na kufanya ya waziri wake, sasa ni bora ajiapishe pia uwaziri wa mambo ya Nje.eep:
Lets Tok.
Jk anaendeleza Tour nje saivi ashenda Belgium,Egypt & Zambia sasa waziri wa mabo ya nje anafanya kazi gani???
Naona JK anasahau majukumu yake na kufanya ya waziri wake, sasa ni bora ajiapishe pia uwaziri wa mambo ya Nje.eep:
Lets Tok.