Rais Kikwete amteua Zitto kamati ya Madini

I must say that Wananchi mwakimbilia kutoa sifa tele, na kuona kana kwamba sasa kuna usuluhishi.

Naomba tupitie wajumbe hawa wa kamati na kujua kama kweli wataweza kuifanya kazi hii kwa umakini.

Mimi nitaanza na mwakilishi kutoka wizara ya Sheria. Maria Kejo ambaye ametajwa ndio mkuu wa ufuatiliaji upatanishi wa mikataba, ndiye yule yule alituletea IPTL. Alikuwa akifahamika kama Mary Ndosi au Maria Ndosi.

Mama Ndosi-Kejo, ameshatuhumiwa kuwa mshirika wa kusaini mikataba bomu kupitia ofisi ya Waziri wa sheria akishirikiana na aliyekuwa waziri wa sheria Andrew Chenge. Aidha, anatuhumiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Lowassa (refer to posings from BCS Times on IPTL).

Lingine, ni mahusiano yake na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Ulinzi ambao walituingiza mkenge katika mkataba wa Vhalambia. Yeye kama mwanasheria alihusika na kusaini mikataba ambayo Serikali imepotea fedha.

Sasa kama yeye ndiye mkuu wa Mikataba ya Kimataifa, tumuulize alishauri vipi Serikali wakati Mkataba wa RDC, Buzwagi, Norway Oil, na mingine ambayo ilipitia ofisini kwake katika miaka karibu mitatu au zaidi ambapo yeye ndiye mkuu wa kitengo?

Jee tunahakika kuwa maslahi ya Taifa yatalindwa ikiwa mwakilishi wa Serikali aliyebobea katika Mikataba ya Kimataifa ana gunia kubwa la tuhuma?
 
Jee mikataba isiyo na haki na iliyojaa kanyaboya itabadilishwa? i dont think so!...tusipotezeane muda sasa bora kuanza kubadilisha policy na sheria za madini yetu.
 
.....................Wajumbe wengine ni Mbunge wa Msalala (CCM),Ezekiel Maige, Peter Machunde kutoka Soko la Hisa, Dar es Salaam (DSE), Mkaguzi wa Mahesabu kutoka Kampuni ya Kimataifa ya Ukaguzi wa Mahesabu, PriceWater Coopers, David Tarimo ambaye ni mtaalam wa masuala ya kodi na Mkurugenzi wa Madai na Sheria za Kimataifa, Wizara ya Katiba na Sheria, Maria Kejo.

........................

Huyu Mama si ndiye aliyetuingiza mkenge wa IPTL huyu au ni mwingine?
 
Reverend, kuingizwa kwa mama Kejo ni jaribio la kutotaka asiwe sehemu ya watakaoitwa kutoa majibu. Halafu huu mtindo wa kuwazungusha watu wale wale kana kwamba hakuna watu wengine utaisha lini? Kwanini wasiingize mtaalamu wa sheria toka Chuo Kikuu, Mfanya biashara wa kimataifa angalau mmoja, n.k Mimi sipendi mazingaombwe hasa yale ya kubadili mchanga uwe sukari!
 
Reverend, kuingizwa kwa mama Kejo ni jaribio la kutotaka asiwe sehemu ya watakaoitwa kutoa majibu. Halafu huu mtindo wa kuwazungusha watu wale wale kana kwamba hakuna watu wengine utaisha lini? Kwanini wasiingize mtaalamu wa sheria toka Chuo Kikuu, Mfanya biashara wa kimataifa angalau mmoja, n.k Mimi sipendi mazingaombwe hasa yale ya kubadili mchanga uwe sukari!

...mwanakijiji pls naomba uniambie hii kamati itasaidia nini katika madini yetu.
 
Buzwagistan!!!! Jua limezama mashariki ya Afrika na giza ndio limetinga Nov/13/07 into history books forever!!! same ol' same......Zitto kapata alichokitaka nacho ni ulaji!! kama huyu bingwa yupo makini, ni vyema akae nje ya kama hii.....kwani huwezi kuendelea kukosea kama nawe ni mmoja wao!!, atleast ktk Bongo yetu.
 
I must say that Wananchi mwakimbilia kutoa sifa tele, na kuona kana kwamba sasa kuna usuluhishi.

Naomba tupitie wajumbe hawa wa kamati na kujua kama kweli wataweza kuifanya kazi hii kwa umakini.

Mimi nitaanza na mwakilishi kutoka wizara ya Sheria. Maria Kejo ambaye ametajwa ndio mkuu wa ufuatiliaji upatanishi wa mikataba, ndiye yule yule alituletea IPTL. Alikuwa akifahamika kama Mary Ndosi au Maria Ndosi.

Mama Ndosi-Kejo, ameshatuhumiwa kuwa mshirika wa kusaini mikataba bomu kupitia ofisi ya Waziri wa sheria akishirikiana na aliyekuwa waziri wa sheria Andrew Chenge. Aidha, anatuhumiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Lowassa (refer to posings from BCS Times on IPTL).

Lingine, ni mahusiano yake na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Ulinzi ambao walituingiza mkenge katika mkataba wa Vhalambia. Yeye kama mwanasheria alihusika na kusaini mikataba ambayo Serikali imepotea fedha.

Sasa kama yeye ndiye mkuu wa Mikataba ya Kimataifa, tumuulize alishauri vipi Serikali wakati Mkataba wa RDC, Buzwagi, Norway Oil, na mingine ambayo ilipitia ofisini kwake katika miaka karibu mitatu au zaidi ambapo yeye ndiye mkuu wa kitengo?

Jee tunahakika kuwa maslahi ya Taifa yatalindwa ikiwa mwakilishi wa Serikali aliyebobea katika Mikataba ya Kimataifa ana gunia kubwa la tuhuma?

Thanks Rev,

Nimesema toka mwanzo kuwa hii kamati is dead on arrival na kama watu wakitake time kufuatilia membaz wa hii kamati ndio watajua zaidi kuwa Kikwete amepania kabisa kuiangamiza Tanzania tunayoijua leo
 
ninapo sema kuwa zitto ajitoe,watu wanafikiri natania subirini muone,kitila miyane usije kila matapishi yako.
 
sasa angalia watu watakavyoshangilia kesho.. halafu its all about timing.. hivi mmejiuliza kwanini imetangazwa leo? Fikirini nini kinatokea kesho, na habari kubwa ya kesho ni ipi... It won't be mambo ya madini.na mikataba..
 
Reverend, kuingizwa kwa mama Kejo ni jaribio la kutotaka asiwe sehemu ya watakaoitwa kutoa majibu. Halafu huu mtindo wa kuwazungusha watu wale wale kana kwamba hakuna watu wengine utaisha lini? Kwanini wasiingize mtaalamu wa sheria toka Chuo Kikuu, Mfanya biashara wa kimataifa angalau mmoja, n.k Mimi sipendi mazingaombwe hasa yale ya kubadili mchanga uwe sukari!

Kwa mtaji huo, anapewa immunity! I am sure she was the designer if not the endorser of Buzwagi contract itself.

Mwambieni Mnyika na Zitto waliongelee hili kwenye chama chao. Hamna haja ya kuona aibu au kuogopa. Zitto should not set his foot into the kamati if any of the members appointed has been associated with any Ufisadi issue or a Fisadi.

Hivyo on the List we have Maria Kejo, I hear Mwakyembe (give us extensive details MK) and someone who was employed by Karamagi!

Let's discect each member, including Zitto if we are to get anywhere and let us make these people and their laundry public and let the Wapiga Kura wa taifa waamue je ni mazingaombwe au ni wivu wa kike wa wapinzani!

This time around, we should not allow JK and his cronies fool us again.
 
Reverend, siwezi kushangaa hata kidogo kuwa aliyependekeza majina ni kiongozi mahiri, aliyetamba Bungeni hasa baada ya kikao chao cha jana (jumatatu) kwenye caucus ya CCM. Mojawapo ya masharti ya kuweza kulileta suala hilo Bungeni ni kuwa na "watu wao" kwenye hiyo Kamati. Kimsingi Kamati ya Bunge ni mazingaombwe zaidi na ya Rais mazingaombwe.. kwenye Kamati hiyo wasingekuwepo wabunge au waajiriwa wa sekta hizo na badala yake (ukiondoa hiyo ya Bunge) wakaribishwe watu nje ya watawala. Kama kweli wanataka kupitia Mikataba ya Madini: Kamati ingeongozwa na Mtaalamu toka Chuo Kikuu (asiwe Mvungi au mmoja wa opposition lawyers cum politicians.)Ingekuwa huru kweli kweli. Watu kama kina Zitto na wengine wangekuwa ni watu wa kuitwa kutoa mawazo yao na kuhojiwa!
 
Sasa Zitto akikataa, na mimi nadhani huyu tunamtegemea kutupa the real situation. ukiwacha wenyewe watakuwa huru kufanya watakalo. (Ukisusa wengine wala tena kilaini)

Labda ushauri ni kwamba iwapo wakati wa kazi yao Zitto akagundua something inakwenda ndivyo sivyo, ajiuzuru. hapo ndio itakuwa njia sahihi ya kuonyesha yupo kwa maslahi ya Taifa na si Tumbo.
 
Reverend, siwezi kushangaa hata kidogo kuwa aliyependekeza majina ni kiongozi mahiri, aliyetamba Bungeni hasa baada ya kikao chao cha jana (jumatatu) kwenye caucus ya CCM. Mojawapo ya masharti ya kuweza kulileta suala hilo Bungeni ni kuwa na "watu wao" kwenye hiyo Kamati. Kimsingi Kamati ya Bunge ni mazingaombwe zaidi na ya Rais mazingaombwe.. kwenye Kamati hiyo wasingekuwepo wabunge au waajiriwa wa sekta hizo na badala yake (ukiondoa hiyo ya Bunge) wakaribishwe watu nje ya watawala. Kama kweli wanataka kupitia Mikataba ya Madini: Kamati ingeongozwa na Mtaalamu toka Chuo Kikuu (asiwe Mvungi au mmoja wa opposition lawyers cum politicians.)Ingekuwa huru kweli kweli. Watu kama kina Zitto na wengine wangekuwa ni watu wa kuitwa kutoa mawazo yao na kuhojiwa!

acha kulalamika sana, saa nyingine unalalamika hadi unaonekana wee ndio tatizo ! punguza hizo ! ni too much ! ikipita siku bila ya wewe kulalamika, watu wanashangaa maana si kawaida yako !
 
Sasa Zitto akikataa, na mimi nadhani huyu tunamtegemea kutupa the real situation. ukiwacha wenyewe watakuwa huru kufanya watakalo. (Ukisusa wengine wala tena kilaini)

Labda ushauri ni kwamba iwapo wakati wa kazi yao Zitto akagundua something inakwenda ndivyo sivyo, ajiuzuru. hapo ndio itakuwa njia sahihi ya kuonyesha yupo kwa maslahi ya Taifa na si Tumbo.

Ni kweli kabisa sahara, na hicho ndicho sisiemu hapa wanategea kuwa wakati watu wakisusa hao wanakula tu kama hawana akili nzuri.

Wakati Karamagi anasaini mkataba London kulikuwa na kamati au tume au whatever the name ikipitia mikataba na matokeo yake yakawa kuwa mkataba wa Buzwagi ndio umeboreshwa.

Kama ulivyouona hapa nadhani u can tell kuwa basi hiyo mingine ndio imeoza kabisaaaa. Hii ya leo ya kina Mwakyembe na Bomani ndio mhhhhh.....

Kikwete kula nchi mwaya, na wala usijali vitoto vinavyokufa bongo kwa wewe kuuza nchi kisha kuunda kamati mbofumbofun eti kufanya uchunguzi. Kama nilivyokuahidi kuwa nimekushikia foleni the day after thanks giving ili uje kufanya shoping NY kama kawaida yako!
 
acha kulalamika sana, saa nyingine unalalamika hadi unaonekana wee ndio tatizo ! punguza hizo ! ni too much ! ikipita siku bila ya wewe kulalamika, watu wanashangaa maana si kawaida yako !

sasa na wewe unalalamika nini? maana umezidi kulalamika kila ninachoandika au kufanya, na ikipita siku kwa wewe kutokulalamika kuhusu mimi huwa nashangaa!
 
Wait a minute!....Ama sijaisoma mada hii vizuri?
Hivi uchaguzi huu ni wa nini hasa?... kama nikutazama upya mikataba ya madini na kufanya marekebisho - Je, sio jambo hili lililomfanya Zitto Kusimamishwa Bungeni wakamwita Muongo, sasa kinafanyika kitu gani hapa ikiwa marekebisho yalikwisha malizika. Si ndio yalikuwa madai ya serikali na JK mwenyewe alimwekea bega Karamagi?

La muhimu hapa JK angemchagua Zitto kuwa mwakilishi ktk kamati ya madini kuchunguza Uhalali wa mikataba iliyopita ikiwa ni pamoja na Buzwagi. Laa sivyo basi JK hana budi kuomba radhi wananchi na kuwaambia kuwa Karamagi alifanya kosa. Na muhimu kuliko yote bado tutaendelea kuidai tume maalum itakayo tazama Mkataba wa Buzwagi na mingineyo yote yenye Utatanishi...sasa kama kamati hii ndiyo itakuwa na kazi ya kuptia mikataba ilokwisha wekwa na kutazama Uhujumu ulotokea hapo nipo na JK.

Ndugu Zitto Hongera sana na wala usije ikataa nafasi hiyo kwani ndio madudu yote utaweza kuyaona zaidi na muhimu toka mwetu wananchi tunakuomba sana Panga pangua - Pigania asilimia ya hisa ktk kila mradi kwa taifa. Na kama Inawezekana STAMICO awe mrithi na pandishwe chat ktk soko letu la DSE.
 
sasa na wewe unalalamika nini? maana umezidi kulalamika kila ninachoandika au kufanya, na ikipita siku kwa wewe kutokulalamika kuhusu mimi huwa nashangaa!

Na wewe umezidi mno kushangaa. Ikipita siku hujashangaa kwa nini unashangaa sote humu hukushangaa
 
Back
Top Bottom