JK ampa shavu Anna Abdallah

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,949
4,444
Anna+Abdallah.JPG


Rais Jakaya KIkwete amemteua Mheshimiwa Anna Margaret Abdallah (mb) kuwa mwenyekiti mpya wa bodi ya Korosho.

Source: Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika.
 
Bado ile kasumba mbaya ya kuwateua WABUNGE kwenye taasisi na vyombo vya DOLA inaendelea. Mh Zitto ulipambana sana hili liondolewe kwenye mashirika ya UMMA. Hakuna aliyekusikia? Kamati yako ya Kudumu ya Mashirika ya Umma Itamuwajibishaje mama huyu kiburi sana akienda ndivyo sivyo?
 
Anampa shavu shemeji yake. Ila tusitarajie mendeleo yoyote kwenye korosho katika kipind hicho huyu mama anaongoza hiyo bodi. Hata ukisikiriza hija zake huwa ni masaburi flani hivi
 
Anampa shavu shemeji yake. Ila tusitarajie mendeleo yoyote kwenye korosho katika kipind hicho huyu mama anaongoza hiyo bodi. Hata ukisikiriza hija zake huwa ni masaburi flani hivi

Hivi Korosho inalimwa haswa wapi?
Huyu mama anatokea huko kunako limwa korosho?
Je huko kunako limwa korosho hakuna mtu mzuri anae weza simamia bodi hiyo?
Je huyu mama makazi yake yapo karibu na wakulima wakorosho ili kujua vilio vya wakulima wa korosho?
Je huu uteuzi hauna harufu ya kaupendeleo flani?
 
Hivi Korosho inalimwa haswa wapi?
Huyu mama anatokea huko kunako limwa korosho?
Je huko kunako limwa korosho hakuna mtu mzuri anae weza simamia bodi hiyo?
Je huyu mama makazi yake yapo karibu na wakulima wakorosho ili kujua vilio vya wakulima wa korosho?
Je huu uteuzi hauna harufu ya kaupendeleo flani?
Hii ni Bongo kaka!
Tangu lini maswali yako yakafanyiwa kazi nchini kwetu hapa?
 
Pius Msekwa mwenyekiti wa bodi NCAA, Anna Abdallah mwenyekiti wa bodi ya korosho. Ni posho za uzeeni kwa kwenda mbele!
 
Mpaka watakapo baki mifupa mitupu yeye na mumewe watabaki wenyeviti wa bodi wizi mtupu yaani Tanzania hii hakuna watu wasomi,wenye uzoefu wa kuweza kuhead hizo bodi ila hao vigagula wezi,wizi mtupu nchi hii,mtu aliingia menopause miaka hamsini iliyopita eti bado ana peta KIkwete ni jeuri wa kuzaliwa dawa nikumg"oa tuu
 
Hii ni Bongo kaka!
Tangu lini maswali yako yakafanyiwa kazi nchini kwetu hapa?

Ndo yale yale Mkulima mahiri wa mahindi una mpa uenyekiti wa bodi ya Pamba sijui vinaendana?
Au nae awepe pale anauza tu sura siku zinaenda...?
Maswali mengi majibu ya kina Salva duh
 
Mods,
Mmefanya vizuri kuziunganisha hizi threads hizi. Sikuwa nimeiona hii ya Fidel80. Kwa nini teuzi hizi ni kwa watu na majina yaleyale tangu miaka hiyo?
 
Hivi Korosho inalimwa haswa wapi? Mkoani Mtwara.

Huyu mama anatokea huko kunako limwa korosho? Anatokea kijiji cha Nagaga wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, unaweza kuiona nyumba yake ikiwa imezungukwa na mikorosho miiiingiiii ukitokea Newala kwenda Masasi.

Je huko kunako limwa korosho hakuna mtu mzuri anae weza simamia bodi hiyo? Wapo watu wengi tu tena ilikuwa ikishangaza siku za nyuma walikuwa wakiteuliwa eti akina Kitwana Kondo sijuwi nani sijuwi wakati wanaostahili wapo kama akina Mh. mama Anna, Mama Kate, makame Rashid nk.

Je huyu mama makazi yake yapo karibu na wakulima wakorosho ili kujua vilio vya wakulima wa korosho? Majibu ni hayo hapo juu tena nakumbuka mbele ya nyumba yake kulikuwa na mkorosho mkuubwaaa ulikuwa unazaa sana sijuwi bado upo. Amestaafu umbunge kwa hiari yake tu wala hakupigwa chini na wananchi.

Je huu uteuzi hauna harufu ya kaupendeleo flani?. Inawezekana ipo lakini haijulikani maana ni upi uteuzi sahihi unavyofikiri wewe.

Anyway naomba kuuliza hivi wewe kaka sijuwi dada ni Mtanzania? unaishi wapi? nauliza tu.
 
Yani huyu mama JK anaona bado anatakiwa kuendelea kula bata? Kati ya vijana woooote wanaomaliza hata UDOM hajaona hata moja? JK hebu kua kidogo bana..hata mimi nina kauzoefu ka kutosha..nipigie pande basi best!
 
sitegemei jipya toka kwa huyu mama!alikuepo tangu enzi za nyerere hapo creativity zero,wakulima wa korosho mlie tuu!
 
<br />
<br />
Hivi Korosho inalimwa haswa wapi? <b>Mkoani Mtwara.<br />
<br />
</b>Huyu mama anatokea huko kunako limwa korosho? <b>Anatokea kijiji cha Nagaga wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, unaweza kuiona nyumba yake ikiwa imezungukwa na mikorosho miiiingiiii ukitokea Newala kwenda Masasi.<br />
<br />
</b>Je huko kunako limwa korosho hakuna mtu mzuri anae weza simamia bodi hiyo? <b>Wapo watu wengi tu tena ilikuwa ikishangaza siku za nyuma walikuwa wakiteuliwa eti akina Kitwana Kondo sijuwi nani sijuwi wakati wanaostahili wapo kama akina Mh. mama Anna, Mama Kate, makame Rashid nk.<br />
<br />
</b>Je huyu mama makazi yake yapo karibu na wakulima wakorosho ili kujua vilio vya wakulima wa korosho? <b>Majibu ni hayo hapo juu tena nakumbuka mbele ya nyumba yake kulikuwa na mkorosho mkuubwaaa ulikuwa unazaa sana sijuwi bado upo. Amestaafu umbunge kwa hiari yake tu wala hakupigwa chini na wananchi.<br />
<br />
</b>Je huu uteuzi hauna harufu ya kaupendeleo flani?. <b>Inawezekana ipo lakini haijulikani maana ni upi uteuzi sahihi unavyofikiri wewe.<br />
<br />
Anyway naomba kuuliza hivi wewe kaka sijuwi dada ni Mtanzania? unaishi wapi? nauliza tu.</b>
<br />
<br />
Mkuu! Majibu yako yana chembe ya maslahi dhahiri kuhusu huyu Bibi au uteuzi huu. Na jibu lako kuhusu makazi ya huyu Bibi ndo limezidi kutia uzito shaka yangu. Makazi yake yapo wapi huyu Bibi? Kama suala ni kujua mkorosho au nyumba yake si kitu cha ajabu hapa JF! Wapo watu humu wanajua hata leo saa hii yupo wapi na atalaza wapi kichwa chake na saa ngapi. Hoja hapa ni kuhusu mtindo huu unaoendelea wa kuteua watu walewale au aina ileile kila uchao kuendesha bodi zetu? Hasa hawa ambao tumeanza kuwasikia tangu miaka ya 70 tukiwa wadogo kule Chiungutwa hadi huku Magogoni?
 
Hivi Korosho inalimwa haswa wapi? Mkoani Mtwara.

Huyu mama anatokea huko kunako limwa korosho? Anatokea kijiji cha Nagaga wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, unaweza kuiona nyumba yake ikiwa imezungukwa na mikorosho miiiingiiii ukitokea Newala kwenda Masasi.

Je huko kunako limwa korosho hakuna mtu mzuri anae weza simamia bodi hiyo? Wapo watu wengi tu tena ilikuwa ikishangaza siku za nyuma walikuwa wakiteuliwa eti akina Kitwana Kondo sijuwi nani sijuwi wakati wanaostahili wapo kama akina Mh. mama Anna, Mama Kate, makame Rashid nk.

Je huyu mama makazi yake yapo karibu na wakulima wakorosho ili kujua vilio vya wakulima wa korosho? Majibu ni hayo hapo juu tena nakumbuka mbele ya nyumba yake kulikuwa na mkorosho mkuubwaaa ulikuwa unazaa sana sijuwi bado upo. Amestaafu umbunge kwa hiari yake tu wala hakupigwa chini na wananchi.

Je huu uteuzi hauna harufu ya kaupendeleo flani?. Inawezekana ipo lakini haijulikani maana ni upi uteuzi sahihi unavyofikiri wewe.

Anyway naomba kuuliza hivi wewe kaka sijuwi dada ni Mtanzania? unaishi wapi? nauliza tu.
JAMANI hivi huyu mama si ameolewa na msekwa pius m/m/kiti ccm, m/kiti bodi ya utalii, mjumbe cc,nec,mkutano mkuu wa ccm na vyeo vingi km mpiga kampeni maarufu ccm.
sasa iweje mkewe aishi tena mtwara au msekwa ndo kaolewa hata kama alimuoa akiwa na umri huo alionao sasa kumbe hakuhama
jingine si kweli ameteua mkulima wa korosho bali mama huyu alipiga kelele sana siku ya bajeti ya kilimo sasa amepata uwezo kazi kwake
laikni mheshimiwa jk naye analinda kitumbua chake na yeye akistafu mkewe atakumbukwa kwa mtindo huo huo ila ni ujinga tu wa watanganyika na upuuzi wetu sijui mungu kwa nini alitupa mali na ujinga si angetupa ujinga moja kwa moja tujue moja mungu hajatutendea vyema watanganyika huwezi kumpa mjinga mali hata siku moja atanyang'anywa
 
Hivi vibibi kwa nini visistaafu!! Wanawabania nafasi vijana, ambao wamemaliza vyuo vikuu kupata ajira..tangu miaka ya 50 hadi leo vipo kwenye madaraka.
 
hivi hamna watu wengine wa kulitumikia taifa hili zaidi? kila siku ni wale wale tu.. tena wale ambao ni zero kabisa upstairs
 
Hivi Korosho inalimwa haswa wapi?
Huyu mama anatokea huko kunako limwa korosho?
Je huko kunako limwa korosho hakuna mtu mzuri anae weza simamia bodi hiyo?
Je huyu mama makazi yake yapo karibu na wakulima wakorosho ili kujua vilio vya wakulima wa korosho?
Je huu uteuzi hauna harufu ya kaupendeleo flani?
...Jirani zetu hapo wameamu kuachana na huu ujinga wa kumuachia mtu mmoja ndio ateue watumishi mbalimbali kukataa upuuzi wa kuletewa makapi yale yale tuliyokwishayachoka utadhani nchi haina watu wengine. Mbaya sana mtu anaweza kushikwa na kifafa ghafla ukasikia kamteua Funzadume kuwa mwenyekiti wa bodi au mkurugenzi wa taasisi fulani...si balaa hiyo?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom